Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko wawaua watu wanne jijini Nairobi

Watu wanne, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, wameuawa jana usiku mjini Nairobi baada ya gari walilolizuia kulipuka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad

Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 47 Nigeria

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa katika soko moja kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno ambapo watu 47 wamefariki huku wengine 55 wakijeruhiwa katika mji wa sabon gari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu

Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko msikitini wawaua watu 25 Syria

Wanaharakati nchini Syria wanasema kuwa mlipuko kwenye msikiti mmoja katika mkoa ulio kaskazini magharibi wa Idlib umewaua takriban wanachama 25 wa kundi lenye uhusiano na kundi la Al-Qaeda la Al Nusra Front.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria

Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 30 Libya

Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari huko Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria

Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri

Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.

 

11 years ago

GPL

WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI

WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani