Mnyika awapa somo wenyeviti wa mitaa
NAIBU Katibu Mkuu (Bara) wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amewataka Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji waliochaguliwa kupitia chama hicho kutotumia ofisi za serikali kujinufaisha wenyewe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Jan
Wenyeviti 73 wa mitaa waapishwa
HALMASHAURI ya Mji Kibaha imeapisha wenyeviti wa mitaa 73 na wajumbe 365, ikiwa ni ishara ya viongozi hao kuanza kazi rasmi.
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wenyeviti mitaa Kinondoni wabanwa
WENYEVITI wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wametakiwa kuwasimamia watendaji wao kutekeleza miradi ya kijamii ili kuharakisha hali bora za maisha kwa wananchi wao.
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Vurugu uapishaji wenyeviti wa mitaa
ENEO la viwanja vya Anatouglou jijini Dar es Salaam, jana lilikumbwa na vurugu wakati wa kuapishwa kwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa mitatu katika Halmashauri ya Wilaya ya Ilala.
Katika vurugu hizo aliyekuwa mgombea wa CCM, Mtaa wa Kigogo Fresh B, Kata ya Pugu, Mariano Haruna, alijikuta akipata fedheha baada ya kudhalilishwa kwa kuvurumishiwa matusi, kukunjwa na kuchaniwa shati lake.
Haruna, alifanyiwa vitendo hivyo na watu wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Habarileo09 Jan
Wenyeviti wapya mitaa wataka mishahara
WENYEVITI wa serikali za mitaa na wajumbe wao katika Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji wameapishwa jana kuanza kutumikia wananchi kulingana na nafasi zao.
11 years ago
Habarileo24 Feb
Madiwani, wenyeviti wa mitaa hatarini kufutwa
MCHAKATO wa Katiba mpya unaoendelea umewaweka madiwani na wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji katika hali ya sintofahamu, baada ya Rasimu ya Pili ya Katiba, kutotamka chochote kuhusu Serikali za Mitaa.
10 years ago
Mtanzania07 Jan
Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa
Na Aziza Masoud na Ferdnanda Mbamla, Dar es Salaam
ENEO la Riverside Ubungo jijini Dar es Salaam, jana liligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili kunusuru hafla ya kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Kinondoni.
Dalili za kuibuka kwa fujo zilianza kuonekana kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika nje ya hoteli ya Land Mark ambako hafla hiyo ilipangwa kufanyika, waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa waliokuwa wagombea uenyekiti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tDFztm2iUjo/XqMBmykJtUI/AAAAAAALoGo/43ieivMZ6C4zpi9U3Dq6B14US1OiGltIQCLcBGAsYHQ/s72-c/92ca58b2-cc17-49dd-9ff7-adbfe25e2d0e.jpg)
RC Gambo Awaonya Wenyeviti wa Mitaa vijiji na Vitongoji
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesitisha kwa muda kuendelea na shughuli yeyote kwenye eneo la Losirwa kata ya Moshono hadi Serikali itakapotoa maelekezo Mengine ambapo amewaonya Wenyeviti wa Mitaa kuacha kuchukuwa fedha na kutoa vibali vya Ununuzi wa Ardhi kwenye maeneo yenye Migogoro.
Aidha Amezitaka halmashauri za wilaya kuacha kutoa vibali vya ujenzi kwa wananchi kwenye maeneo yenye migogoro kwa kuwa inaleta mikanganyiko kwenye jamii na kuleta ugumu wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Mwigulu awapa somo wafanyabiashara
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akifungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiasha nchini, kutengeneza miradi ambayo inatambulika ili iwe rahisi kukopeshwa fedha.
Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa kufungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo Mashariki na...
11 years ago
Habarileo13 May
RC awapa somo wabunge wa Dar
WABUNGE wa Mkoa wa Dar es Salaam, wametakiwa kuacha siasa chafu zinazochochea kukwamisha utekelezaji wa ‘Operesheni Safisha Jiji’ inayoendelea .