Mnyukano urais chama cha walimu
MCHUANO mkali umeibuka ndani ya Chama cha Walimu Nchini (CWT) baada ya wagombea 28 kujitosa kuwania Urais wa chama hicho chenye nguvu kutokana na kuundwa na idadi kubwa ya watumishi wa umma.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
DKT SHEIN AKUTANA NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qxGy_1mnPgI/U8BB6MLr_qI/AAAAAAAF1Pw/LT9A2fpp8Dw/s1600/unnamed+(16).jpg)
5 years ago
MichuziCWT SINGIDA VIJIJINI: BAADHI YA MAKATIBU WA CHAMA CHA WALIMU NI MZIGO
Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Singida Vijijini, Joselen Kato Samwel, akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho baada ya kutangazwa mshindi.
Msimamizi wa uchaguzi huo, Katibu wa CWT, Manispaa ya Singida, Jones Madale (katikati), akitangaza washindi.
Mwenyekiti wa Chama cha Walimu (CWT ) Wilaya ya Singida Vijijini, Kitengo (KE), Jaha Mwemkala, akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
Baadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAWAONYA WATAKAOTOA NA KUPOKEA RUSHWA UCHAGUZI CHAMA CHA WALIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVZIKIWA zimebaki siku mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Viongozi wa kitaifa wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma imetoa onyo kwa wale wote watakaotoa na kupokea Rushwa.
Uchaguzi huo wa CWT utafanyika Juni 5 jijini Dodoma ambapo utachagua Rais, Makamu wa Rais,...
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Chama cha Walimu (CWT), Mkoa wa Dar es Salaam kinaidai Serikali Tsh.Bilioni 1.1
10 years ago
MichuziCHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) KUFANYA UCHAGUZI MKUU KITAIFA MAY 28, 2015 JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza,
ArushaChama cha Walimu Tanzania (CWT) kinatarajia kufanya...
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) KUFANYA UCHAGUZI MKUU KITAIFA MAY 28, 2015 JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza, Arusha
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kinatarajia kufanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oaYfayWYspE/Xt5HKMPmGgI/AAAAAAALtFQ/gaNNNqSW2pomjX39pxuNsbRCmpDmeNEDgCLcBGAsYHQ/s72-c/R-1-768x541.jpg)
WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NGAZI YA TAIFA NA KAMATI YA UTENDAJI CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oaYfayWYspE/Xt5HKMPmGgI/AAAAAAALtFQ/gaNNNqSW2pomjX39pxuNsbRCmpDmeNEDgCLcBGAsYHQ/s640/R-1-768x541.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa ngazi ya taifa na Kamati ya utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza viongozi hao. Kulia ni Rais wa Chama Walimu Tanzania (CWT) Bi. Leah Ulaya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/R-2-1024x695.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/R-3-1024x683.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania