MO apata wapinzani Chadema
Na Nathaniel Limu, Singida
WANACHAMA watatu wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Singida, inadaiwa wameonyesha nia ya dhati kumng’oa Mbunge wa jimbo la Singida Mohammed Gullam Dewji, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Wanachama hao ambao inadaiwa wana uwezo mkubwa wa kulipaisha kimaendeleo jimbo hilo ni aliyewahi kuthubutu kumwangusha Dewji kwenye uchaguzi mkuu uliopita na kuangukia pua, Josephat Isango (kwa sasa ni mwandishi wa habari wa gazeti la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sitta apata wapinzani uenyekiti Bunge la Katiba
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Chadema: Rais JPM anatekeleza sera za wapinzani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani
Sunday, September 20, 2015 KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala. Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni […]
The post VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mgombea ubunge wa Chadema Dodoma mjini apata dhamana
10 years ago
VijimamboMGOMBEA CHADEMA MTAA WA MIGOMBANI SEGEREA, JAPHET KEMBO AWAGARAGAZA WAPINZANI WAKE KWA KUPATA KURA 510
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)