Chadema: Rais JPM anatekeleza sera za wapinzani
Wakati Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli akionekana kuteka hisia za Watanzania wengi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakishtushwi kwani amekuwa akitumia hoja, mikakati na Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s72-c/34.jpg)
KINANA : WAPINZANI WAMEKOSA SERA MBADALA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v44SiS7BdbU/VGpZkoVNDWI/AAAAAAAATXk/GepDHw68u6k/s1600/30.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7F9IveqR-pY/VGpZky8bHCI/AAAAAAAATXo/G1XTKXftfsk/s1600/32.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_102122_258.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200307_102122_258.jpg)
Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
NANI NI NANI SERIKALIYA JPM: Dk Abdallah Possi – Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
MO apata wapinzani Chadema
Na Nathaniel Limu, Singida
WANACHAMA watatu wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Singida, inadaiwa wameonyesha nia ya dhati kumng’oa Mbunge wa jimbo la Singida Mohammed Gullam Dewji, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Wanachama hao ambao inadaiwa wana uwezo mkubwa wa kulipaisha kimaendeleo jimbo hilo ni aliyewahi kuthubutu kumwangusha Dewji kwenye uchaguzi mkuu uliopita na kuangukia pua, Josephat Isango (kwa sasa ni mwandishi wa habari wa gazeti la...
9 years ago
TheCitizen03 Dec
'Harassed' Chadema leaders call on JPM
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Mbowe: JPM anacheza ngoma ya Chadema
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani
Sunday, September 20, 2015 KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala. Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni […]
The post VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
MichuziCCM wamnasa Kigogo aliyewahi kuwa mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Ukraine ,Rais awaonya wapinzani