Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine ,Rais awaonya wapinzani

Rais wa Ukraine amewaonya waasi walioteka majengo ya serikali waondoke Jumatatu la sivyo wakabiliwe na jeshi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wapinzani Ukraine waja juu

Viongozi wa upinzani nchini Ukraine wamedai kufahamishwa ni jambo gani ambalo Rais Viktor Yanukovych, ameipatia Russia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine: Wapinzani waelekea kupatana?

Rais Viktor Yanukovych, na viongozi watatu wa upinzani wameafikiana kufanyia mabadiliko sheria inayopiga marufuku maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burundi awaonya waandamanaji

Rais wa Burundi ameonya kuwa watu wanaofanya maandamano watachukuliwa hatua kuwa wachochezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Nkurunzinza awaonya maofisa forodha

Muyungi, Burundi. Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza amewaonya maofisa wa vituo vya pamoja vya ukaguzi na forodha waliopo katika mpaka wa Kobero na Kabanga kuachana na vitendo vya rushwa na upitishaji bidhaa haramu.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM

>Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana wa  CCM kutokuwa makuwadi na madalali wa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema: Rais JPM anatekeleza sera za wapinzani

Wakati Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli akionekana kuteka hisia za Watanzania wengi, Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  kimesema hakishtushwi kwani amekuwa akitumia  hoja, mikakati na Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho.

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao

 

Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.

Kushushwa kwa  Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukraine aapishwa rasmi

Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Yanukovych wa Ukraine kukamatwa

Ukraine imetoa hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo Victor Yanukovych

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani