Moyo wa starfish hudunda mara sita kwa dakika
Wiki iliyopita tulianza kuangalia mifumo ya fahamu ya samaki jamii ya starfish. Tuendelee kuliangalia suala hilo kwa undani… KUNA baadhi la mirija ya fahamu ya samaki huyu ambayo nayo hutumika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9YuBwE4oFOw/XqwC1jMWydI/AAAAAAALowk/nzXpAryRC3E6-iiDsfe6tPymeZFG-SOigCLcBGAsYHQ/s72-c/Mafunzo-1-2048x1366.jpg)
WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE WAPEWA MAFUNZO YA MARA KWA MARA KUHUSU UGONJWA WA CORONA (COVID – 19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9YuBwE4oFOw/XqwC1jMWydI/AAAAAAALowk/nzXpAryRC3E6-iiDsfe6tPymeZFG-SOigCLcBGAsYHQ/s640/Mafunzo-1-2048x1366.jpg)
Afisa Muuguzi wa chumba cha upasuaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aimana John akiwaelekeza wauguzi wenzake namna sahihi ya kunawa mikono kwa maji safi yanayotiririka na sabuni wakati wa mafunzo ya jinsi ya kupambana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Mafunzo-2-scaled.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
'Moyo wangu ulisimama kwa dakika 45'
Moyo wa Ruby Graupera uliacha kudunda kwa dakika 45, madaktari walipokuwa wakimfanyia upasuaji waliwakusanya wanafamilia kwa ajili ya kusema buriani.
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Muhimbili kuzibua mishipa ya moyo kwa dakika 45
>Huenda Watanzania wanaougua magonjwa ya moyo wakaepuka kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya matibabu baada ya tiba ya kuzibua mishipa ya moyo iliyoziba kufanyika kwa mara ya kwanza nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI2552.jpg)
Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s640/OTMI2552.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ofaNsobsXQ/XqqlMLa7SXI/AAAAAAALooU/BEw8MdRgB8Q0KyOtrrq6LnzGPBfNhVCtQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI2559.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Wauguzi ‘vihiyo’ sita watimuliwa Mara
SERIKALI mkoani Mara imewatimua kazi wauguzi ‘vihiyo’ sita waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi. Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Balthazar Kichimba, amethibitisha tukio hilo, wakati akihojiwa na Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s72-c/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s320/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda kuutahadharisha Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.
![](http://www.fikrapevu.com/wp-content/uploads/2014/11/stationery-640x350.jpg)
Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10