Mpango wa Beyonce kufanya movie hii wakosolewa vikali Afrika
Kwa wengine Queen Bey hawezi kufanya kitu kibaya, lakini ukitoa mradi mpya wa filamu anaodaiwa kupewa.
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kuwa Beyoncé anaweza kushiriki kwenye filamu ya historia ya Saartjie (“Sarah”) Baartman, mwanamke wa Afrika Kusini aliyenyonywa na Waingereza katika karne ya 18 na 19.
Baartman, aliyejulikana pia kama Hottentot Venus alikuwa akioneshwa hadharani akiwa mtupu kutokana na kuwa na makalio makubwa.
Chief Jean Burgess wa Afrika Kusini amedai kuwa Beyoncé hafai...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2nEBzuHMzb8/default.jpg)
9 years ago
Bongo518 Nov
Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-na-Beyonce-300x194.jpg)
Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.
Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.
Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.
“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake