Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpango wa Beyonce kufanya movie hii wakosolewa vikali Afrika

The 55th Annual GRAMMY Awards - Arrivals

Kwa wengine Queen Bey hawezi kufanya kitu kibaya, lakini ukitoa mradi mpya wa filamu anaodaiwa kupewa.

The 55th Annual GRAMMY Awards - Arrivals

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kuwa Beyoncé anaweza kushiriki kwenye filamu ya historia ya Saartjie (“Sarah”) Baartman, mwanamke wa Afrika Kusini aliyenyonywa na Waingereza katika karne ya 18 na 19.

AN00099425_001_l

Baartman, aliyejulikana pia kama Hottentot Venus alikuwa akioneshwa hadharani akiwa mtupu kutokana na kuwa na makalio makubwa.

Chief Jean Burgess wa Afrika Kusini amedai kuwa Beyoncé hafai...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.

Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.

Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.

“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani