MRADI WA MIL 700/- WA MATUMIZI YA RASILIMALI ENDELEVU USAMBARA WAANZA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00082.jpg)
Afisa Mradi wa uchumi wa kijani ndani ya hifadhi hai (GEBR) Kitengo cha Sayansi kutoka UNESCO na mwakilishi wa KOICA, Myoung Su Ko, (kulia) akisalimiana na Mtendaji wa Kata ya Mnyuzi, Bw. Gosbert Ishengoma mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za kata hiyo wilayani Korogwe. Katikati ni Afisa Usafi na Mazingira wa Wilaya ya Korogwe, Bw. Frederick Linga.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Jul
MRADI WA MIL 700/- WA MATUMIZI YA RASILIMALI ENDELEVU USAMBARA WAANZA
![DSC_0008](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00082.jpg)
Na Mwandishi wetu, KorogweShirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limezindua mradi wa mamilioni katika eneo la...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Rasilimali kwa ajili ya malengo endelevu ya maendeleo zinaweza kutoka wapi?
10 years ago
Habarileo12 Mar
‘Ufisadi mwingine wa mil 700/- wanukia Nishati’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambazo zinaonekana kuyeyuka katika mazingira yasiyoeleweka.
11 years ago
Habarileo16 Feb
Ashangaa halmashauri kushindwa kutumia mil 700/- za maji
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla, ameshangazwa na utendaji wa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kwa kushindwa kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji hali inayoifanya iwe na kiwango cha chini cha upatikanaji wa maji cha asilimia 35 katika Mji wa Ifakara tofauti na lengo lililowekwa na Serikali.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Mradi wa maji TBL kunufaisha kaya 700
ZAIDI ya familia 700 katika Mtaa wa Kimara- King’ongo, Kata ya Saranga, Dar es Salaam zinatarajia kunufaika na msaada wa mradi wa kisima cha maji uliotolewa na Kampuni ya Bia...
10 years ago
StarTV15 Feb
Serikali yaruhusu mradi wa mkaa endelevu.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Serikali imeruhusu kuendelea kutekelezwa kwa mradi wa mkaa endelevu wilayani Kilosa mkoani Morogoro licha ya baadhi ya wadau wa mazingira kupinga kwa madai kuwa umeleta athari ya kupoteza misitu mingi.
Awali mradi huo ulisitishwa kwa muda mara baada ya kuona ukichangia uharibifu wa mazingira kutokana na kukithiri kwa ukataji miti hatua ambayo iliilazimu Serikali kutaka mradi huo usitishwe kwa muda ili kupisha uchunguzi maalum.
Kwa muda mrefu nishati ya mkaa...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TBL kutumia mil. 700/- kutatua uhaba wa maji sekta ya afya
TATIZO la upatikananji wa maji safi na salama nchini ni moja kati ya changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya afya nchini. Tatizo hili limekuwa likiathiri ufanisi katika shughuli mbalimbali za huduma...
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule za Sekondari nchini zashauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi
Mkuu wa Shule ya Sekondari Manzese Bw.Linus Mwakasege akitoa ufafanusi kwa waandishi wa habari kuhusu manufaa ya mradi wa nishati endelevu ya Biogesi utakavyowanufaisha wanafunzi wa shule hiyo. (Picha zote na Aron Msigwa-MAELEZO).
Aron Msigwa-MAELEZO
9/9/2015.Dar es salaam.
Shule za Sekondari kote nchini zimeshauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi na majiko sanifu ili kulinda na kuhifadhi mazingira.
Ushauri huo umetolewa na Meneja Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji...