MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA ZAIDI YA MARA NNE WAKATI AKIWA SAFARINI KUTOKEA JIJINI TANGA KUELEKA DAR

Msafara wa Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ukichanja mbuga kutokea jijini Tanga kuelekea jijini Dar es salaam mapema leo asubuhi.
Sehemu ya wananchi wa Mji wa Muheza Mkoani Tanga, wakiwa wamefunga barabara, wakimtaka Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, azungumze nao leo Septemba 29, 2015, wakati akiwa safarini kwa kuelekea jijini Dar es salaam...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA DUMILA MKOANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA



10 years ago
CHADEMA Blog
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA ALITIKISA JIJI LA TANGA KWA MARA NYINGINE TENA



5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Maandamano Uingereza: Zaidi ya watu 100 wamekamatwa baada ya kutokea vurugu jijini London
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
PINDA akiwa safarini kuelekea Katavi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jaqueline Liana kwenye Ikulu ndogo ya Tabora alipopata mapumziko akiwa njiani kuelekea Katavi Oktoba 2, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
StarTV20 Aug
Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano
10 years ago
VijimamboDK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM
11 years ago
Michuzi