Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msajili wa Vyama vya Siasa arushiwa lawama mpya CUF

Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Katibu Mkuu, Seif Sharif Hamad kimedai kuwa hatua ya ofisi ya Spika kumtambua Magdalena Sakaya kama kaimu katibu mkuu wa chama hicho ni maelekezo ya ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili avionya vyama vya siasa

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amevionya vyama vya siasa kujiepusha na vurugu, lugha za matusi, maandamano yasiyozingatia utaratibu uliowekwa kisheria na vitendo vya rushwa. Jaji Mutungi...

 

9 years ago

Michuzi

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA APIGA KURA

Wanannchi wakihakiki majina yao katika kituo chao cha kupigia kura.Jaji Mutungi akiwa kwenye chumba cha kupiga kura.KWA PICHA ZIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Habarileo

Msajili kuhakiki wanachama vyama vya siasa

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, inatarajia kufanya uhakiki wa wanachama wa vyama vyote vya siasa kupata takwimu sahihi ya idadi yao.

 

9 years ago

Habarileo

Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.

 

9 years ago

StarTV

  Msajili wa vyama vya siasa aombwa kuzikemea Kauli za upotoshaji

 

Umoja wa maskani za CCM Zanzibar Ujirani Mwema wamuomba msajili wa vyama vya siasa Tanzania kukemea kauli za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa zinazoashiria uvunjifu wa amani nchini.

Wanasema mara baada ya uchaguzi mkuu uliofutwa Zanzibar, baadhi ya viongozi wamekuwa na kauli za uchochezi za wazi lakini msajili hajachukua hatua yoyote kukemea kauli hizo.

 Akizungumza wakati wakitowa msimamo wao visiwani Zanzibar Mwnyekiti wa umoja huo Ali Muhammed Ali Lugha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani