Msama amwaga misaada ya mil. 5/- kwa yatima
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Muziki wa Injili la Krismasi litakalozinduliwa kesho Uwanja wa Taifa chini ya uratibu wa kampuni ya Msama Promotions, jana ilitoa msaada wa vitu mbalimbali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani mauaji ya Albino yanayoendelea nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.
Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...
10 years ago
Michuzi25 Dec
ALEX MSAMA AMWAGA ZAWADI ZA KRISMAS KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/120.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s72-c/4.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s1600/4.jpg)
Tamasha la Pasaka linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s72-c/1.jpg)
MSAMA PROMOTIONS LTD YAMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, YALAANI MAUAJI YA ALBINO YANAYOENDELEA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s1600/1.jpg)
Msama amekabidhi misaada hiyo kwa vituo vitano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s72-c/_MG_9111.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s640/_MG_9111.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W43xlgW6YAo/VlrItbmpxII/AAAAAAABk_0/VmcrSXaxgJA/s640/_MG_9071.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9ggApSwF-k/VlrJxxlAqgI/AAAAAAABlAk/2z1KwRtrle4/s640/_MG_9160.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Nov
MKE WA KIPINGU AMWAGA MISAADA KWA SHULE ZA MONTESORY, ULONGONI B
Misaada hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya Zugo Gold Mining ambaye pia ni Mwakilishi wa Wanawake na Maendeleo ya Vijana na Ajira kwa Wachezaji wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Zuwena Idd Kipingu, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya shule hizo mwishoni mwa wiki.
Akizungumza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SlJUvVZPH64/UvfY4fka4UI/AAAAAAACaV0/YKWohUoBxj8/s72-c/4.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAKABIDHI MISAADA KWA VITUO VITATU VYA JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SlJUvVZPH64/UvfY4fka4UI/AAAAAAACaV0/YKWohUoBxj8/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2xTE4UMtVtY/UvfY9dWB8tI/AAAAAAACaWE/TKFbsqLu4Ak/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fEz3c4Wug80/UvfY8kd6FvI/AAAAAAACaV8/8oEN-OoGMkc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KdKQc-IbDOI/UvfZEILs97I/AAAAAAACaWM/V1aj2SC-eIo/s1600/1.jpg)