Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSF: Hali mbaya ya kibinadamu CAR

Shirika la misaada la Medecins Sans Frontiers, linasema kuwa ghasia katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, zimekithiri na kufika viwango vya kutisha sana kiasi cha kutia wasiwasi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya kibinadam inaendelea kuwa mbaya-CAR

Mashirika ya kutoa msaada yaonya kuwa endapo Waislamu wataendelea kuihama CAR masoko ya nchi hiyo yatasambaratika kabisa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hali ya kibinadamu yazorota Raqqa,Syria

Mkaazi mmoja wa ngome kuu ya wapiganaji wa Islamic State huko Syria katika jiji la Raqq ameambia BBC kuwa hali ya kibinadamu imezorota sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Hali mbaya Magereza

Wakati idadi ya wafungwa ikizidi kuongezeka nchini, Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2014/15 itaendelea kumlisha mfungwa mmoja kwa Sh500 kwa siku.

 

11 years ago

GPL

MASKINI JACK HALI MBAYA

Stori: Shakoor Jongo
MODO mwenye mvuto Bongo Jacqueline Patrick ‘Jack’, ambaye yuko mahabusu ya Gereza la Qincheng nchini China kwa madai ya kunaswa na madawa ya kulevya nchini humo, anazidi kuteseka, safari hii akidaiwa kukabiliwa na tatizo kubwa la kiafya. Jacqueline Patrick ‘Jack’. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Jack anasumbuliwa na ugonjwa wa kukosa hamu ya kula, hali iliyomfanya apoteze uzito wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ronaldo bado hali mbaya

Cristiano Ronaldo amezua tena wasiwasi kwa mashabiki wa Ureno baada ya jana asubuhi kuonekana akitoka katika hoteli akiwa na barafu katika goti lake la kushoto huku wakijiandaa na mchezo mgumu wa kwanza dhidi ya Ujerumani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali mbaya ya hewa yaikabili Zambia

Matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zambia uliofanyika jana yatatangazwa kama ilivyopangwa awali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya

WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania watahadharishwa hali mbaya ya hewa

Mamlaka ya hali ya hewa nchini imewatahadharisha wananchi kuwa mabadiliko ya tabia nchi yanayotokana na uharibifu wa mazingira huenda yakasababisha hali mbaya ya hewa nchini na kukosekana kwa mvua kwa wakati.

Hali hii itasababisha kuwepo kwa hali mbaya ya chakula na ukosefu wa maji kwa muda mrefu katika maeneo kame.

Mkurugenzi wa utafiti wa mamlaka ya hali ya hewa nchini Ladislaus Chang’a amesisitiza kuwa iwapo wananchi hawatoweza kubadilika kitabia huenda nchi ikakumbwa na maafa makubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani