MSIBA MICHIGAN NA TANZANIA
Familia ya Mzee Adam Kufakunoga wa Regent Estate inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mzee Adam Kufakunoga kilichotokea nyumbani Tanzania ,mipango na ratiba kamili ya mazishi mtaarifiwa baadae
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ue5In_t6OGU/U-1RtYjPcRI/AAAAAAAAJZo/DVPG-vAbzEs/s72-c/51VU6eCUKkL%5B1%5D.jpg)
Nimezawadiwa Kitabu: "Picturing Hemingway's Michigan"
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ue5In_t6OGU/U-1RtYjPcRI/AAAAAAAAJZo/DVPG-vAbzEs/s320/51VU6eCUKkL%5B1%5D.jpg)
Na Profesa Mbele
Leo nimepata zawadi ya kitabu, Picturing Hemingway's Michigankilichotungwa na Michael R. Federspiel. Kinahusu sehemu ya kaskazini ya jimbo la Michigan, ambapo familia ya Ernest Hemingway ilikuwa inakwenda kwa mapumziko.
Kitabu kina picha na maelezo kuhusu sehemu hiyo, ambapo Hemingway alitembelea tena na tena wakati wa utoto na ujana wake. Hapa ni chimbuko la matukio ya riwaya ya mwanzo ya Hemingway,The Torrents of Spring na hadithi zake ziitwazo Nick Adams Stories.
10 years ago
WDIV Detroit12 Feb
Michigan family with 12 adopted children looking to bring home 2 more from ...
WDIV Detroit
WDIV Detroit
LOCAL COLLEGE CAMPUS TO STOP USING HATEFUL WORDS. WHAT'S BEHIND THE EFFORT AND IS IT WORKING? Devin: AN OAKLAND COUNTY COUPLE FOUND THEY COULDN'T HAVE CHILDREN OF THEIR OWN SO THEY STARTED A ...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
VijimamboMSIBA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s320/unnamed.jpg)
Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...
10 years ago
Vijimambo31 May
Msiba Tanzania na Marekani
Patricia Kajula wa Maryland Marekani anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mwamakunge Kajula kilicho tokea leo Mbeya Tanzania.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.
Msiba upo kwa binamu yake Patricia,Jeff Deo Nkanda Address:5701 union bridge ct Bowie MD 20720
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Patricia:240 486 9948Jeff Deo Nkanda: 240 413 1925Dotto Haruna: 240 274 7921Betty Lulanda:240 486 7082Shukurani Magoma:202 607 1976
Bwana alitoa na sasa bwana ametwa amenitumia.
10 years ago
Vijimambo22 Jul
MSIBA BOSTON NA TANZANIA
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/p526x296/11755259_10153520433392112_7238554944213601093_n.jpg?oh=e8783a8757cba27cadf968e25a225b12&oe=5614D936)
Msiba - BostonDada yetu Francisca Mwaluli amefiwa na mwanawe Kevin(19yrs) jana July-20th Dar-es-Salaam, Tanzania. Our dear sister Francisca Mwaluli is bereaved of her son who passed away yesterday, July 20th. May Kevin's soul Rest in Peace, Amen. Msiba upo nyumbani kwake 340 Centre St, Jamaica Plain. Pole sana my dear Francisca MwaluliMungu ailaze roho ya marehemu Kevin mahali pema peponi, Amen.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Msiba Tanzania na DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s72-c/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
MSIBA MAREKANI NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s640/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10