Msiba USA na Tanzania.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SfMg77NmgW0/VfRr7CciaQI/AAAAAAAAJfE/ov7gLCScgPA/s72-c/Mbwana%2B2.jpg)
Terry na Sunday Shomari wanasikitika kutangaza kifo cha kaka yao mpendwa Mbwana Majjid Shomari kilichotokea jana Ijumaa jijini Dar-es-salaam Tanzania na baadaye kuzikwa nyumbani kwake Mbagala Daressalaam.
Kama ilivyo ada yetu, mnaweza kukutana na wafiwa na kuwapa pole kesho Jumapili kwenye address ifuatayo:
149 Joyceton Terrace
Upper marlboro Md 20774
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-en_FYe4VRAk/VYgRZoxciCI/AAAAAAADtQ4/Y_hH72pdM1o/s72-c/5f295e5d2ca51dada1202712aa6a81c7.jpg)
MSIBA KANSAS CITY USA NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-en_FYe4VRAk/VYgRZoxciCI/AAAAAAADtQ4/Y_hH72pdM1o/s320/5f295e5d2ca51dada1202712aa6a81c7.jpg)
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU
Emmanuel Elisa Nyiti (pichani) alizaliwa March 21, mwaka 1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.
Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.
Baada ya...
9 years ago
Vijimambo13 Sep
TAAFIFA YA MSIBA COLUMBUS, OH USA
Kwa maelezo Zaidi please wasiliana na Michael Mgodo kwa kupitia number 614 446 5556, Teddy Mgodo 614 772 1591 na mwenyekiti wa sasa ndugu Deo Mwalujuwa kwa number yake ya 614 378 8655.Kama...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s72-c/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
MISS TANZANIA USA 2015-2016 AEESHA KAMARA ASHINDA KUWA COVER GIRL KWENYE CALENDA YA MISS AFRICA USA
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
11 years ago
Michuzi31 Jul
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
![IMG-20140727-WA0011](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg)
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg?width=600)
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara ashinda kuwa Cover Girl kwenye kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) akiibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano ililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015.
Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji.
Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.
Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.
5 years ago
New Day Live24 Feb
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5uuketGYIig/U38JgCiyTQI/AAAAAAAFknk/pQxLlcQc_2A/s72-c/New+Picture+(4).png)
Miss Tanzania USA
![](http://2.bp.blogspot.com/-5uuketGYIig/U38JgCiyTQI/AAAAAAAFknk/pQxLlcQc_2A/s1600/New+Picture+(4).png)
Qualifications: Miss Tanzania USA (Must be 18 to 27 years of age and be at least 5’5” in height Miss Tanzania Teen USA (Must be 12 to 17 years of age) Miss Tanzania Queens of Tomorrow (Must be 6 to 11 years of age) Must be Tanzanian or have at least one Tanzanian parent Must reside in the USA.
When: Sunday, 8th June...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SUOzv1-QW2o/U7MZ8y1IVPI/AAAAAAAFuFk/FtEx_0Nroao/s72-c/unnamed+(1).png)