TAAFIFA YA MSIBA COLUMBUS, OH USA
Tunasikitika kuwaarifu kwamba mwenyekiti wetu wa kwanza wa mfuko Mr MichaelMgodo amepatwa na msiba wa baba yake mzazi uliotokea katika hospitali ya Dar Group juzi. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Tanzania na hapa USA kwa Mr and Mrs Mgodo.Address yao ni 549 Wildindingo Run, Westerville, Ohio 43081.
Kwa maelezo Zaidi please wasiliana na Michael Mgodo kwa kupitia number 614 446 5556, Teddy Mgodo 614 772 1591 na mwenyekiti wa sasa ndugu Deo Mwalujuwa kwa number yake ya 614 378 8655.Kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo28 Sep
MAENDELEO YA MSIBA COLUMBUS, OHIO
Kwa niaba ya Deo tunapenda kuwafahamisha kutakuwa na misa ya kumuombea dada yetu mpendwa Angela Mchoropa siku ya jumatatu Sept 29, 2014 saa kumi na moja jioni ,nyumbani kwa Deo.Dada Angela anatarajiwa kuzikwa Siku hiyo ya jumatatu nyumbani Tanzania.Anuani ya Deo Ni kama ifuatavyo:
1440 Sharon GreenColumbus Ohio 43229(614)378-8655
ShukranUongozi
11 years ago
Vijimambo28 Sep
Taarifa ya msiba Columbus, OHIO
Tunasikitika kuwapa taarifa ya msiba. Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Columbus Deo Mwajulujwa Amefiwa na dada yake Angela Mchoropa. Dada Angela aliugua miezi michache iliyopita , Alipopata nafuu akaenda nyumbani Tanzania ambako Mauti yalimfikia. Kama mila Na desturi zeta kushirikiana na kumfariji mwenzetuKatia kipindi hiki kigumu. Anuani ya Deo ni hii ifuatayo:
1440 Sharon Green Columbus Ohio 43229 (614)378-8655
MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI"
Uongozi
10 years ago
Vijimambo
Msiba USA na Tanzania.

Kama ilivyo ada yetu, mnaweza kukutana na wafiwa na kuwapa pole kesho Jumapili kwenye address ifuatayo:
149 Joyceton Terrace
Upper marlboro Md 20774
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen.
10 years ago
Vijimambo
MSIBA KANSAS CITY USA NA TANZANIA

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU
Emmanuel Elisa Nyiti (pichani) alizaliwa March 21, mwaka 1973 mkoani Dar es Salaam Tanzania kabla ya mauti kumfikia Juni 20 mwaka 2015.
Elimu ya awali aliipata katika shule ya msingi Kibaha na baadaye akajiunga na shule ya sekondari Kibaha kutoka mwaka 1987 mpaka 1990.
Baada ya...
5 years ago
New Day Live24 Feb
Credit Settlement Market with Eminent Key Players and Future Outlook to 2026 | Guardian Debt Relief (USA), Freedom Debt Relief (USA), Debt Negotiation Services (USA)
10 years ago
Michuzi
JAPAN INTERNATIONAL COOPERATION AGENCY DELEGATION VISIT EAC HEADQUARTERS: Discuss dualling of Tengeru-Usa Road, Rehabilitation of Usa - Holili section, and Re-location of Kikafu Bridge


9 years ago
Michuzi
MISS TANZANIA USA 2015-2016 AEESHA KAMARA ASHINDA KUWA COVER GIRL KWENYE CALENDA YA MISS AFRICA USA

11 years ago
Michuzi31 Jul
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA

Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...
11 years ago
GPL
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA