Msilie muenzini Sokoine kwa uadilifu wake-JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema taifa halipaswi kulia kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine, kwani kufanya hivyo ni sawa na kukata tamaa na kushindwa kuenzi mfano wa maisha ya uadilifu na uaminifu katika kazi zilizomfanya awe alama na kielelezo cha uongozi bora nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Wabunge msilie machozi ya Mamba
KITENDO cha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuamua kusimama kidete na kuonyesha ushupavu na nguvu za kuikalia kooni serikali kuhusu kashfa ya Escrow kusifanane na machozi ya...
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA MADHEHEBU KUOMBEA UADILIFU KWA VIONGOZI
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Dk Shein kioo kipya kwa uadilifu Z’bar
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kairuki ahimiza uadilifu kwa watumishi wa umma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema kila mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu na uadilifu bila kutoka nje ya mstari. Aliyasema hayo katika kikao kazi na wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jana.
11 years ago
Habarileo03 May
Ndugai ahimiza watumishi kufanya kazi kwa uadilifu
NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amewashauri watumishi wanaofanya kazi kwenye Halmashauri ya Kongwa, mkoani Dodoma, kuiga mwenendo wa uaminifu na uadilifu katika utumishi wa umma.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s72-c/Jakaya_Kikwete.jpg)
Ahadi ya Uadilifu itaimarisha maadili ya kibiashara, huduma kwa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s400/Jakaya_Kikwete.jpg)
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7866AA-768x512.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA FAMILIA YA SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s640/PMO_7866AA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati alipokwenda kutoa pole kwa familia hiyo imeondokewa na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam, Machi 29, 2020. Kutoka kushoto ni Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais, Halima Jama, Mama Napono Sokoine , Christina Towo Sokoine na Kulia ni Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kivuyo Lemburs
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7869AA-1024x618.jpg)