‘Msiwalazimishe watoto michepuo’
WAZAZI nchini wameaswa kutowalazimisha watoto wao kuchagua michepuo ambayo hawana uwezo nayo. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Tusiime, Jonathan Kasabila, kwenye mahafali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Aug
Michepuo, tahasusi kubadilishwa
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inapitia upya michepuo na tahasusi, kwa kile kilichoelezwa ni kuwezesha ufundishaji kwenda na wakati. Michepuo na tahasusi hizo mpya za kidato cha kwanza mpaka cha nne, pia na za kidato cha tano hadi sita, zitaanza kutumika katika mwaka wa masomo 2015/16.