MTANDAONI:Wolper Atolea Ufafanuzi Picha ya “ Jambazi la Bongo Movie”
Nguvu ya mitandao ya kijamii ni kubwa sio tu iliweza kusababisha mtu akajivuta taji la U-Miss bali hadi kuwapa ushidi kina Diamond na Idris..sasa sijui hii ya hii picha ya Jambazi la Bongo Movie ingetupeleka wapi.
Picha hii inasambaa kwa kasi sana mitandaoni, imuonyesha jambazi akimuonyesha bastola mwandada (ambae bila shaka anaonekana mwigizaji Irene Uwoya). Sasa cha kishangaza wengi ni kwamba “kaka jambazi” amevua viatu!!!!!. Hii imepelekea watu wengi kuiponda sana tasnia ya filamu hapa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
WOLPER: Mastaa wa Bongo Movie ni “Masnichi”
“Nawapenda sana Bongo Movie lakini chakusikitisha vile vichwa mnavyoviamini kwenye tasinia ndo masnichi wakubwa simtoke huko tafuteni kazi nyingne kama hamjasoma kama mimi jifunzeni kushona nguo kama mimi me sahivi na fundi wangu Mgece naingia class asubuh najioni nimeshachoka kutumikishwa na Wahindi ....kipaji changu kingine mitindo so najisogeza kwenye mitindo mbali mbali sio kubanana sehemu ambapo ampendani kazi majungu nakusnchiana kila siku .. Nawahindi awatetereki maana hao mnaowaita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoazHJKgJB0HDSShIOrdrnB7YJUPwmPax-olZyjY2jA2uMIetX7i04C88DyLe5z2OYEfM70pVK7Z8K3eDHhXFxa7/rolper.jpg)
WOLPER AWAPIKU MASTAA BONGO MOVIE
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Picha za Wolper Akifanya Mazoezi Zawa Gumzo Mtandaoni!!!
Picha za mrembo na mwigizaji wa sinema za kibongo, Jackline Masawe ‘Wolper’ alizoziweka mtandaono akiwa nafanya mazoezi ya viungo zimezua mjadala na maswali mengi.
Wolper ambae kwasaa anaonekana kuwa ‘Bonge’ , wiki iliyopita alitangaza kuanza kufanya mazoezi ili aurudie mwili wake wazamani, toka juzi amekuwa akitupia mtandaoni picha hizo hapo juu akiwa mazoezini.
Mbali na mashabiki wake wengi kumpamoyo kuwa aendelee kukomaa na mazoezi, wapo ambao waliona kama mwanadada japokuwani kweli...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycOYPZK9IULgw359tcQoXzDseX9x2ZjOb6EDuBDwlGC2AqjAr4SX9ZUR*dk-Wu-DtcMXLhF1JY-vxd-STVoXVpOK/10601811_510475949098767_362612024_n.jpg?width=650)
DULLY SYKES ATOLEA UFAFANUZI WIMBO WAKE WA ‘MATUSI’
9 years ago
Bongo517 Nov
Alikiba atolea ufafanuzi post ya ‘utata’ aliyoandika Instagram, na ampongeza Diamond kwa ushindi wa AFRIMA
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n1-300x194.jpg)
Alikiba ametolea ufafanuzi post yake ya Instagram iliyozua mjadala kwa mashabiki mbalimbali wa muziki ambao waliipokea kwa hisia tofauti.
Siku ya Jumatatu Nov.16 Muimbaji huyo wa single mpya ‘Nagharamia’ aliandika, “Asanteni sana najua mmepiga kura sana lakini nilikuja kugundua baada ya kufuatilia kuwa kuna mambo yanaendelea ya watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu ila nawaomba fans msinielewe vibaya I will always be there for you #hapakazitu #kingkiba,” post ambayo baadae...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6yGIYn4U2Ns/VlqR_1tYUbI/AAAAAAAII3k/QLoD7zXAMqQ/s72-c/IMG-20151128-WA0038.jpg)
11 years ago
CloudsFM15 Jun
Picha> Baadhi ya wasanii wa bongo movie wakielezea ni jinsi gani wanaiaminia Tanzania
Ray msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....Wolper msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....
Mchopa msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....
Uwoya msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....