Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER AWAPIKU MASTAA BONGO MOVIE

Stori: Shani Ramadhani STAA Jacqueline Wolper Massawe, ambaye ni muigizaji mahiri wa filamu, amewapiku nyota wenzake wa tasnia hiyo baada ya kufanya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Jumamosi iliyopita kwa namna tofauti kabisa, kwani badala ya kuita marafiki kwenye pati kubwa inayoambatana na vyakula na vinywaji, yeye alikwenda kuwatembelea wazee wanaolelewa katika Kanisa Katoliki la Msimbazi, jijini Dar. Staa wa filamu Bongo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

WOLPER: Mastaa wa Bongo Movie ni “Masnichi”

“Nawapenda sana Bongo Movie lakini chakusikitisha vile vichwa mnavyoviamini kwenye tasinia ndo masnichi wakubwa simtoke huko tafuteni kazi nyingne kama hamjasoma kama mimi jifunzeni kushona nguo kama mimi me sahivi na fundi wangu Mgece naingia class asubuh najioni nimeshachoka kutumikishwa na Wahindi ....kipaji changu kingine mitindo so najisogeza kwenye mitindo mbali mbali sio kubanana sehemu ambapo ampendani kazi majungu nakusnchiana kila siku .. Nawahindi awatetereki maana hao mnaowaita...

 

9 years ago

MillardAyo

Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)

Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Mastaa wa Bongo Movie ni “Masnichi”

“Nawapenda sana Bongo Movie lakini chakusikitisha vile vichwa mnavyoviamini kwenye tasinia ndo masnichi wakubwa simtoke huko tafuteni kazi nyingne kama hamjasoma kama mimi jifunzeni kushona nguo kama mimi me sahivi na fundi wangu Mgece naingia class asubuh najioni nimeshachoka kutumikishwa na Wahindi ....kipaji changu kingine mitindo so najisogeza kwenye mitindo mbali mbali sio kubanana sehemu ambapo ampendani kazi majungu nakusnchiana kila siku .. Nawahindi awatetereki maana hao mnaowaita...

 

9 years ago

Mtanzania

MC Simon awaponda mastaa wa Bongo Movie

MC SimonNA SHARIFA MMASI

MSHEREHESHAJI mahiri nchini, Simon Mbwana, maarufu kwa jina la MC Simon, amewatupia lawama waandaaji na watunzi wa filamu za kibongo nchini kwamba hawana upeo mpana katika utunzi wao.

Alisema katika filamu yake anayotarajia kuiachia muda wowote ikikamilika itaonyesha mfano wa kuigwa na wakongwe hao katika utunzi na uchezaji anaoamini utaondoa pengo kubwa lililopo katika utunzi wa hadithi za tamthilia za kibongo.

“Tanzania ipo nyuma kimaendeleo katika filamu kwa kuwa si...

 

10 years ago

GPL

ESHE AWANANGA MASTAA BONGO MOVIE

Stori: Hamida Hassan Staa wa filamu za Kibongo,  Eshe Buheti ameibuka na kuwananga mastaa wa kike waliobaki kwenye Kundi la Bongo Movie Unity kuwa hawajielewi na kazi yao ni majungu tu.Akistorisha na Risasi Jumamosi, Eshe alisema kuwa imefikia hatua baadhi ya wasanii hao hawasalimiani wanapokutana misibani kisa ni yeye kujitoa kwenye kundi, kituambacho haoni kama kina tija. Staa wa filamu za Kibongo,  Eshe Buheti. ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mastaa Bongo Movie Njaa Tupu!

Uchunguzi uliofanywa na Ijumaa Wikienda umebaini kwamba mastaa wengi wa sinema za Kibongo wapo katika hali ngumu kiuchumi kutokana na soko la filamu kudorora huku wizi wa kazi zao na kusitishwa mikataba yao na makampuni makubwa ya usambazaji vikichangia.

Uchunguzi huo umebaini kwamba moja ya makampuni yaliyositisha mikataba ya wasanii ni Steps Entertainment ambao wamesababisha mastaa kibao kushindwa kutengeneza muvi kwa kuwa awali walikuwa wakipewa bajeti na Steps kisha kuwauzia kwa bei ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

MTANDAONI:Wolper Atolea Ufafanuzi Picha ya “ Jambazi la Bongo Movie”

Nguvu ya mitandao ya kijamii ni kubwa sio tu iliweza kusababisha mtu akajivuta taji la U-Miss bali hadi kuwapa ushidi kina Diamond na Idris..sasa sijui hii ya hii picha ya Jambazi la Bongo Movie ingetupeleka wapi.

Picha hii  inasambaa kwa kasi sana mitandaoni, imuonyesha jambazi akimuonyesha bastola mwandada (ambae bila shaka anaonekana mwigizaji Irene Uwoya). Sasa cha kishangaza wengi ni kwamba “kaka jambazi” amevua viatu!!!!!. Hii imepelekea watu wengi kuiponda sana tasnia ya filamu hapa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mastaa Bongo movie wazindua kampeni ya ‘Mama Ongea na Mwanao’

Siku ya jana, Agosti 20 wasanii kutoka kwenye tasnia ya filamu nchini, Steve Nyerere, Wema Sepetu, Batuli, Snura, Wastara na wengineo wamezindua kampeni mpya iitwayo Mama Ongea Na Mwanao.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kampeni hiyo Steve Nyerere akizungumza na waandishi wa habari alisema…‘Mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na mwanao ni kwamba hii Mama ongea na mwanao nadhani mmeona tangu tumepata uhuru nchi yetu haijawahi kuwa na makamu urais mwanamke hii ni historia kwa Tanzania mimi na imani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani