MTANZANIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA
Mtanzania Joyce Rwehumbiza anayeishi Maryland nchini Marekani siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 alisherehekea siku yake ya kuzliwa ya kufikisha miaka 40 kwa kutangaza utalii wa Tanzania huku akichangisha fedha kwa bahati nasibu ya kuuza tiketi kwa lengo la kusaidia Tanzania na huku akionyesha video za uzuri wa mbuga zetu ikiwemo Zanzibar.
Vitu mbalimbali viliuzwa kwa lengo la kutoa msaada kwa wasiojiweza Tanzania.
Joyce Rwehumbiza akiongea machache na kutoa shukurani kwa wahudhuriaji kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboJOSE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA STAILI YA PEKEE
Zawadi hizo kwa Jose.
kwa mapicha ya kumwaga...
11 years ago
GPL
H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
10 years ago
Michuzi
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU





10 years ago
GPLNASRA WA GLOBAL ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
11 years ago
Dewji Blog05 May
Shy Rose Bhanji asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Bweni Dar es Salaam. (Photos by: MD Digital Company +255 755 373999).

Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki…

Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ester...
10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA AKIWA NA WAJUKUU





11 years ago
Michuzi
MHE. SHY ROSE BHANJI ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA



11 years ago
Michuzi
MTOTO ZALEX JOSEPH KUSAGA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA




9 years ago
Bongo514 Nov
Stamina asherehekea siku yake ya kuzaliwa na wimbo mpya ‘Mr Bonventure’

Rapper Stamina Jumamosi hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuachia wimbo mpya uitwao Mr Bonventure unaoelezea historia ya maisha yake kama bonus kwa mashabiki wake.
Stamina ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili mashabiki wajue ni jinsi gani walivyobadili maisha yake.
“Nashukuru Mungu, media pamoja na mashabiki wangu. Huu wimbo niliotoa ni kwa ajili yao kama bonus track, unaelezea maisha yangu kwa ujumla na kazi yangu official itatoka hivi karibuni. Kwahiyo wimbo tayari upo...