MTENDAJI MKUU TEMESA AKABIDHI MTAMBO KWA CHUO CHA UJENZI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-heN0uKpiw/XkqxKSqkPUI/AAAAAAALdyU/ipaGi8gqQpQ43zAbVQsoFpzXssI3EbYGQCLcBGAsYHQ/s72-c/0eb6d679-5a65-4716-b824-efafd3498f10.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga akikata utepe kuashiria kupokea rasmi mtambo uliotolewa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa Chuo cha Ujenzi Morogoro (MWTI) wakati wa hafla ya kuupokea mtambo huo iliyofanyika chuoni hapo. Katikati ni Mtendaji Mkuu TEMESA Mhandisi Japhet Y. Maselle na kulia ni Mkuu wa chuo hiko Mhandisi Melkizedeck L. Mlyapatali. Pamoja na mtambo huo pia wamekabidhiwa kompyuta kwa ajili ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s72-c/jb%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU 201 KWA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI, AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2468Z1IOr9w/VK_yJzPVoHI/AAAAAAAG8R4/-8h3x35UKUU/s1600/jb%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E4LBR5D46jQ/VK_yKYgy1NI/AAAAAAAG8R8/yLVR964snzY/s1600/jb%2B(2).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA CHUO CHA CBE ATOA UFAFANUZI KUHUSU HABARI ZILIZOCHAPISHWA KWA LENGO LA KUUPOTOSHA UMMA KUHUSU CHUO CHAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WgpWioAR53w/UwYsSw-NyzI/AAAAAAAFOZE/16W4dETObpM/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema amesema kuwa habari zilizoandikwa na kuchapishwa na gazeti moja la kila siku na baadhi ya mitandao ya kijamii...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
5 years ago
MichuziCHUO CHA KILIMO MATI ILONGA MKOANI MOROGORO CHAPANUA WIGO WA UTOAJI MAFUNZO KWA VITENDO
Shamba la migomba la chuo hicho.
Mratibu wa Masomo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Felix Mrisho (kulia), akizungumzia teknolojia ya kilimo kwa kutumia kitalu nyumba wanayoiendesha kwa kushirikiana na Shirika la Sustainable Agriculture Tanzania (SAT).
Mkuu wa Idara ya Usindikaji chuoni hapo, Moses Chavala, akielezea namna wanavyotoa mafunzo ya usindikaji.
Wakufunzi wa chuo hicho, Antoneta Sunguya na Mariam Marianda wakionesha sufuria inayotumika kuchemshia nyanya kabla ya usindikaji.
Jengo la...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKABIDHI VITABU CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA(NATIONAL DEFENCE COLLEGE)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tk0t5hDwcRo/U4NV1HrSiRI/AAAAAAAFlIE/TqfN0K2V9j8/s72-c/IMG-20140526-WA0001.jpg)
Mdau Zainab Kessy Mtambo alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Taylor's University
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tk0t5hDwcRo/U4NV1HrSiRI/AAAAAAAFlIE/TqfN0K2V9j8/s1600/IMG-20140526-WA0001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-djzxvheWmZ8/U4NV-yGJx9I/AAAAAAAFlIM/1SJ5sLShKxg/s1600/IMG-20140526-WA0002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hZ3WzGmY2fM/U4NWIiJiA-I/AAAAAAAFlIU/wsule_ga2qg/s1600/IMG-20140526-WA0003.jpg)
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TZ23AO8E7KM/VklT40q8Z3I/AAAAAAAIF_0/MxPGAXOpVIc/s72-c/IMG_4277.jpg)
MAHAFARI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA KIISLAMU CHA MOROGORO(MUM) YAFANA.
Mahafali hayo yalihudhuriwa na Mgeni rasmi, Profesa Dkt. Fadzil Adam, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislam cha Morogoro na mtafiti wa chuo kikuu cha Zanzibar (SZA),wa Nchini Malaysia Kuala Teregganu, Mkuu wa chuo hicho Hajjat Mwantum...