Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME ALIVYOMFANYIA UKATILI MKEWE

Na Hamida Hassan
HUU ni ukatili uliopitiliza! Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Neema Mwita, anateseka katika Hospitali ya Mkoa wa Mara kufuatia jereha kubwa alilopata baada ya mumewe aliyemtaja kwa jina la Juma Mwita kummwagia uji wa moto kisa kikiwa ni kuchuma mahindi shambani bila ridhaa ya mumewe huyo.Akizungumza na Uwazi huku akimwaga machozi kila wakati, mwanamke huyo alisema siku ya tukio, yeye na mumewe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UKATILI WA MUME

Hamida Hassan na Mayasa Mariwata UKATILI wa mume! Mama mmoja, Neema Mwita aliyeripotiwa na gazeti hili kuwa aliunguzwa na uji wa moto na mumewe Juma Mwita, amefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1hv5ShV

 

11 years ago

GPL

MUME AMPIGA MKEWE AKISWALI

Stori:Makongoro Oging'
TUHUMA nzito ya aina yake ambayo haijawahi kutokea ambapo mkazi mmoja wa Tandale – Kwatumbo wilayani Kinondoni jijini, Idd Mpenda anadaiwa kumshambulia na kumjeruhi hadi kuzimia mkewe, Nasra Dafa (30) wakati akiswali. Bi. Nasra Dafa (30) aliyeshambuliwa na mume wake wakati akiswali. Akizungumza na Amani huku akimwaga machozi, mwanamke huyo alisema tukio hilo lilijiri Julai 28, mwaka huu saa saba...

 

11 years ago

GPL

MUME AFYEKA NYETI ZA MKEWE

UNYAMA wa kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake. Bwana Gasto Edward na mkewe ambaye anadaiwa kumkata nyeti zake. Imeelezwa kuwa, tukio hilo lenye sura ya majonzi, lililovuta hisia za watu wengi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Amkodishia mkewe mume wa 'kumhudumia'

Chirope Mwaruwa anadaiwa kumkodisha mwanamume ili kulala na mkewe mjamzito akidai kwamba ana matatizo.

 

10 years ago

Habarileo

Mume adaiwa kuua mkewe

MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Tuombemungu Kata ya Ugunga wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Mawazo Saidi, ameuawa kikatili.

 

11 years ago

GPL

UNDANI MUME KUMCHINJA MKEWE!

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Dada wa Lucas Lomayany Molel (37) anayesakwa kwa kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24), akiwa katika chumba kilichotumika kwa mauaji hayo. Chanzo cha habari...

 

9 years ago

GPL

MUME AMCHARANGA MAPANGA MKEWE!

Ashura Ramadhani anayedaiwa kucharangwa mapanga na mumewe. Na Haruni Sanchawa WIVU! Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Abdallah, mkazi wa Gongo la Mboto, Ilala jijini Dar es Salaam, anadaiwa kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili mkewe Ashura Ramadhani kwa kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili juzi kuwa Abdallah baada ya kufanya unyama huo, alikimbilia kusikojulikana...

 

10 years ago

GPL

MUME AMLIPUA MKEWE KWA PETROLI

Na Igenga Mtatiro, Butiama
Mwanamke mmoja, Kudra Janja  mkazi wa  Kijiji cha Bwai, wilayani Butiama mkoani Mara amelipuliwa kwa petroli na mumewe, Simon Otieno  kwa kile kilichodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.Katika tukio hilo pia mtoto aliyejulikana kwa jina la Tatu Simon (1) alifariki dunia muda mfupi baada ya kuungua kwa moto katika unyama huo uliofanywa na baba yake mzazi. Habari kutoka katika kijiji hicho zinasema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mume akiri kumchinja mkewe London

Mwanamume mmoja amekiri kumchinja na kisha kumkatakata mkewe katika nyumba yao mjini London.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani