Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvutano waibuka ada elekezi shule binafsi

Maandalizi ya upangaji wa ada elekezi kwa shule binafsi nchini yameibua mvutano kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi na Chama cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi (Tamongsco) baada ya kulalamikia kutopewa nafasi ya ushiriki katika hatua za awali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mvutano ada elekezi shule binafsi kwa faida ya nani?

Kwa wiki kadhaa sasa, kumekuwapo na hali ya la kuviziana kati ya Serikali na wamiliki wa shule za binafsi nchini kutokana na kuwapa agizo la ada elekezi. Hali ilivyo ni kuwa wamiliki wanadai kutoa elimu bora na kwa gharama ndogo, huku Serikali ikiwatazama kwa hofu ya unyonyaji kupitia ada wanazotoza kwa kila mwanafunzi anayesoma kwenye shule zao.

 

9 years ago

Habarileo

Ada elekezi shule binafsi Januari

ADA elekezi kwa shule za msingi za binafsi zitaanza kufanyiwa majaribio katika baadhi ya mikoa mwezi Januari mwakani, gazeti hili limeelezwa. Hatua hiyo inakuja kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa na Serikali kwa kuhakikisha wataalamu wa masuala ya elimu wanakamilisha kazi ya ukokotoaji wa ada hiyo ili majaribio yake yaanze katika baadhi ya maeneo hapa nchini ifikapo Januari.

 

9 years ago

Habarileo

Ada elekezi shule binafsi tayari

TUME ya wataalamu waliokuwa wanakusanya maoni ya wadau wa elimu na kukokotoa ada elekezi kwa shule za msingi na sekondari zisizo za Serikali, wamemaliza kazi yao na tayari wamekabidhi ripoti hiyo kwa Serikali.

 

9 years ago

Mwananchi

Ada elekezi kufunga shule binafsi

Uamuzi wa Serikali kuandaa ada elekezi kwa vyuo, shule za msingi na sekondari zinazomilikiwa na watu binafsi au mashirika ya dini, unatarajiwa kuwaweka wamiliki wake katika wakati mgumu na huenda ukawa mwanzo wa mwisho wa baadhi ya shule.

 

9 years ago

Habarileo

Ada elekezi kwa shule binafsi Desemba 15

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewataka wazazi na walezi wenye wanafunzi wanaotegemea kuanza masomo au kuendelea na masomo katika shule binafsi mapema Januari mwezi ujao, kuvuta subira hadi Desemba 15, mwaka huu serikali itakapotoa maelekezo mbalimbali ikiwemo suala la ada elekezi.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi

KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.

 

9 years ago

Habarileo

Marufuku shule za binafsi kuongeza ada

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imepiga marufuku shule binafsi kuongeza gharama za uendeshaji wa shule, zikiwemo ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia mwezi Januari mwaka ujao mpaka watakapopata maelekezo kutoka kwa Kamishna wa Elimu nchini.

 

9 years ago

Mtanzania

Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada

Prof-MchomeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.

Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia  Januari 2016 hadi hapo...

 

10 years ago

Habarileo

Kero ya ada shule binafsi zatafutiwa tiba

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne KilangoSERIKALI imetangaza kumpata Mtaalamu Mwelekezi, ambaye ameanza kazi jana kuangalia suala la ada elekezi katika shule binafsi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani