Mwafrika wa kwanza kwenda anga za juu
DJ mmoja mwenye umri wa miaka 25 kutoka Afrika Kusini anatarajiwa kuwa mwafrika wa kwanza kufika katika anga ya juu zaidi mwaka 2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania
Mwaka
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
M’s Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa)
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHwNqr8Y6ko/VoPDvyXmpvI/AAAAAAAAPF0/p72Mg51KTEA/s1600/shayo67.jpg)
Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Google yapanua mabawa anga za juu
Google imetupa macho yake katika anga za juu na kujitosa katika nyanja ya teknolojia ya anga za juu
5 years ago
BBCSwahili18 May
Atlas V rocket: Jeshi la Marekani lapeleka ndege ya siri katika anga za juu
Ndege hiyo ilipaa kuelekea anga za juu kutoka eneo la Cape Canaveral siku ya Jumapili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s72-c/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
TMA yatolea ufafanuzi juu ya taharuki ya hali ya anga kuwa na Rangi mbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s640/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
KUFUATIA kuwepo kwa taharuki na maswali kutoka kwa Umma juu ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au ya chungwa jana Aprili 16,2020 katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya hewa nchini TMA imetolea ufafanuzi hali hiyo na kusema kuwa ni hali ya kawaida kutokea.
Katika taarifa yake iliyotolewa leo Aprili 17, 2020 imeeleza kuwa, hali hiyo hutokea wakati jua linapozama au kuchomoza katika mazingira yenye kuwa na hali ya hewa kama vile mawingu,...
10 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA KWANZA WA UMOJA WA VYUO VYA USAFIRI WA ANGA BARANI AFRIKA (AATO)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
GPLTANZANIA IMEKUA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA KWANZA UMOJA WA VYUO VYA USAFIRI WA ANGA BARANI AFRIKA(AATO)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi , Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Mbwana . J. Mbwana akisalimiana na Rais wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika(AATO) Tchagbele Sadamba wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa AATO unaofanyika Zanzibar  kwa ajili ya kujadili mbinu za kuboresha mafunzo ya usafiri wa anga barani Afrika. Katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Uchumi Mamlaka ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-75m9JwyvEOU/U_dHdyCQfyI/AAAAAAAGBbw/QF3aM04B6Hs/s72-c/IMG-20140822-WA0001.jpg)
washindi watatu wa kwanza wa Miss Temeke kwenda nchini Afrika Kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-75m9JwyvEOU/U_dHdyCQfyI/AAAAAAAGBbw/QF3aM04B6Hs/s1600/IMG-20140822-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhYCQfUVuQ4/U_dHeTylZFI/AAAAAAAGBb0/XyvFmKaUEWo/s1600/IMG-20140822-WA0002.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania