Mwenyekiti Samuel Sitta naomba kukukumbusha
MEI 27, 2013 Wizara yako ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki iliandaa semina kwa maofisa habari na mawasiliano katika wizara, idara zinazojitegemea, Wakala na Serikali za Mitaa juu ya Mtangamano wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SAMUEL SITTA NDIYE MWENYEKITI WA KUDUMU BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BXxAtUJ23W4/UyB4ki91TjI/AAAAAAAFTJ4/XiXWKMAQQ7k/s72-c/blogger-image--222084285.jpg)
BREAKING NYUZZZZ: MH. SAMUEL SITTA NDIE MWENYEKITI MPYA WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BXxAtUJ23W4/UyB4ki91TjI/AAAAAAAFTJ4/XiXWKMAQQ7k/s1600/blogger-image--222084285.jpg)
Akitoa Neno la Shukrani mara baada ya kupata nafasi hiyo,Mh. Sitta amewashurukuru Wajumbe wote wa Bunge la Katiba kwa kuweza kumpa nafasi hiyo adhimu.Pia amempongeza mpinzani wake,Mh. Hashim Rungwe kwa kukubali matokeo hayo.
taarifa kamili itawajia muda mfupi ujao.
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini
Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amevitaka vyombo vya habari nchini kuacha uchochezi na chuki wakati vinapohabarisha umma kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya.
Kauli hiyo nimetolewa leo na Mhe. Sitta wakati alipokutana na baadhi ya waandishi wa habari katika viwanja vya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Ni Samuel Sitta
SAMUEL Sitta jana alichaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rugwe, huku akijigamba kuwa kuchaguliwa kwake ni...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Samuel Sitta aweweseka
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amesema iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ina hadhi ndogo kuliko Bunge Maalum. Amesema kutokana na hadhi ndogo hiyo, ndiyo maana wametoa...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Samuel Sitta ni mzalendo!
KAMA ni hadaa za kisiasa kwa Samuel Sitta, basi tuna kila sababu ya kumshauri kwamba imetosha, maana lengo lake la kujijenga kisiasa linazidi kuyeyuka na sasa ni kama anajitengenezea fedheha...