Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete Afungua kikao cha kuipitia Ilani ya Uchaguzi wa 2015, mjini Dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-PFmGf2HZx3M/VZfOaGt5Q5I/AAAAAAAHmyg/WI26vJ7c7CM/s72-c/MMGL0520.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akionyesha kitabu ya Rasimu ya Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, wakati wa Kikao cha Kamati Kuu cha kuijadili na kuipitisha Ilani hiyo kinachofanyika, leo Julai 4, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM Makao Makuu, Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC leo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipokea shangwe na wajumbe alipowasili katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM White House kuendesha kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodona leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa ukumbini tayari kuongoza kikao hicho leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza kikao kujadili Ilani ya CCM 2015-2020 Dodoma
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fm81b5kW3EE/VWGw8imDSkI/AAAAAAAAuO8/cxhVcXFO4N8/s640/9n.jpg?width=640)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA
10 years ago
VijimamboRais Kikwete AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Halmashauri kuu ya CCM unaofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma..
Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM wakifuata kwa kamini hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa ufunguzi wa kikao hicho.(picha na Freddy Maro
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DM-mlLiFSXw/VV9Ao4kMOtI/AAAAAAAHZOU/zd9XZVJbKnE/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Rais Kikwete aendesha kikao cha Kamati kuu mjini Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-DM-mlLiFSXw/VV9Ao4kMOtI/AAAAAAAHZOU/zd9XZVJbKnE/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sYnRDS2CIfo/VV9Aomi1ClI/AAAAAAAHZOQ/ECrj2dwMDGo/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s72-c/MMGL1187.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s640/MMGL1187.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s72-c/0L7C0086.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s1600/0L7C0086.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-psSP19LECkg/U_QGL68tHoI/AAAAAAAGA08/OqLA7f8tyjU/s1600/dom2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uexNHLzE2Ao/VZATxtb6EhI/AAAAAAADtws/C_E8KTcLKMo/s72-c/ccm1.jpg)
MWENYEKITI WA CCM RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uexNHLzE2Ao/VZATxtb6EhI/AAAAAAADtws/C_E8KTcLKMo/s640/ccm1.jpg)