Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWENYEKITI WA TACIN ANIC KASHASHA ATEMBELEA BANDA LA TPDC SABASABA

Mwenyekiti Mtendaji we shirika lisilo la kiserikali la TACIN, Bw. Anic Kashasha,(katikati) akiwa pamoja na uongozi wa juu wa Shirika la Maemdeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) akiwemo Mkurugenzi Mtendaji Bw. Yona Kilaghane (wa pili kulia) na Bibi Joyce Kisamo, Mkurugenzi wa Masoko na Uwekezaji, alipotembelea banda la shirika hilo kwenye viwanja vya Saba Saba jijini Dar ea Salaam, mapema leo. TACIN ni washirika wa TPDC kwenye maandalizi ya Mtwara Festival ambayo ni mkakati wa mawasiliano wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JK Atembelea Banda la Mambo ya Nje, Sabasaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete akiwasili kwenye Banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwenye viwanja vya SabasabaRais Dkt. Kikwete akiweka saini kwenye kitabu cha wageni katika banda la Wizara ya Mambo ya NjeRais Kikwete (Mwenye Koti la Blue) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Taasisi zake.Mtumishi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mbwana Msingwa akiweka saini katika kitabu...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Pinda atembelea Banda la PSPF kwenye Maonyesho ya Sabasaba

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani, wa PSPF, Goddfrey Ngonyani, wakati alipotembelea banda la mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Mahusiano na Masoko, Costantina Martin. Mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam, akipatiwa huduma na mtafiti mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Maagi Thomas, kwenye banda la Mfuko huo lililoko kwenye jengo la wizara ya fedha kwenye...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani, wa PSPF, Goddfrey Ngonyani, wakati alipotembelea banda la mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Mahusiano na Masoko, Costantina Martin. Msanii wa majigambo, Mrisho Mpoto, a.k.a Mjomba, (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF,...

 

11 years ago

Michuzi

Ankal atembelea banda la PPF kwenye maonesho ya sabasaba leo

Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimuhudumia Ankal wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba. Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimkabidhi taarifa ya michango yake Ankal  wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya  38 ya Sabasaba. Pembeni wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF. Kumbukumbu za PPF zinaonesha Ankal ameanza kuchangia mfuko huo toka  mwaka 1994 Meneja...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA ATEMBELEA BANDA LA NSSF KWENYE MAONESHO YA SABASABA

Meneja Kiongozi wa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kulia) akimuongoza Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudentia Kabaka wakati alipotembelea banda la NSSF kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini Dar es salaam.Waziri wa kazi na Ajira, Mh. Gaudentia Kabaka akipokea maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi wa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume, juu ya mashine za kutoa mrejesho wa Huduma za NSSF kwenye banda la Maonesho la NSSF.

 

11 years ago

Michuzi

Kaimu Katibu Mkuu atembelea Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Sabasaba

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye Banda la Maonesho la Wizara katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere ambako Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanafanyika. Wengine wanaoshuhudia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bw. Mkumbwa Ally (mwenye suti) na Bw. Mashaka Chikoli, Afisa kutoka Idara ya Sera na Mipango.Balozi Gamaha akizungumza na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh. Kamala atembelea banda PPF Katika maonyesho ya Sabasaba

unnamed

Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni, Lulu Mengele (kushoto) akimkaribisha Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Mh Dodorius Kamala (kulia) wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba yaliyomalizika jana.

unnamed (1)

Afisa Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Hellen Mollel akitoa maelezo kwa Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh Kamala juu ya wanachama wanavyonufaika na mafao wakati wanapostaafu kazini, Wa kwanza Kushoto ni Meneja Uhusiano na Masoko, Lulu Mengele.

unnamed (2)

Afisa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo

IMG_6278

Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR

Mke wa rais, Salma Kikwete, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biasharaya Kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini jana, Julai 4, 2014. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu(Wapili kulia), akimuhudumia mstaafu, na mwanachama wa Mfuko huo, Jackson F. Salewa, wakati wa siku hya PSPF kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani