Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA GEORGE FLOYD ULIVYOAGWA, ASKARI WALIPIGIA MAGOTI JENEZA


Kutoka Chuo Kikuu cha North Central mjini Minneapolis, Marekani imefanyika Ibada ya kuuaga mwili wa George Floyd, Mmarekani mweusi aliyefariki akiwa mikononi mwa polisi na kusababisha maandamano makubwa Marekani na Nchi nyingine>>”Askari wamepiga magoti wakati jeneza likiingia ukumbini”Ibada hiyo ya kumbukumbu imeongozwa na Mwanaharakati wa haki za kiraia Mchungaji Al Sharpton, ilikuwepo Familia ya Floyd, lakini pia Gavana wa Minnesota Tim Walz, Seneta wa Minnesota Amy Klobuchar na Meya wa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Wachezaji mbalimbali duniani walivyozungumzia kifo cha Floyd

Wachezaji wa Liverpool walipiga goti katikati ya uwanja wa Anfield kufikisha ujumbe wa kupinga mauaji ya raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika George Floyd mjini Minneapolis.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd: "Babangu amebadilisha dunia", ujumbe wa hisia uliotumwa na Gianna Floyd

Gianna ni mwana wa kike wa George Floyd , mwanamume ambaye alifariki wakati alipokamatwa na maafisa wa polisi wa Minneapolis wakati afisa mmoja alipowekelea goti lake katika shiko yake kwa daikia nane.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump ashutumiwa kugawanya Wamarekani huku maafisa wanaouhishwa na kifo cha Floyd wakishtakiwa tena

Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis amemshutumu Rais Donald Trump, kwa kuleta mgawanyiko na kutumia vibaya mamlaka yake.

 

10 years ago

GPL

MWILI WA MZEE LUANGISA ULIVYOAGWA JIJINI NEW YORK, MAREKANI

Waombolezaji wakiaga mwili wa Mzee Luangisa wakati wa ibada iliyofanyika Jumamosi ya Mei 30, 2015 New York, Marekani. Mtoto wa marehemu, Kwame Luangisa akitoa wasifu wa baba yake.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA BALOZI WA MALAWI NCHINI FLOSSIE CHIDYAONGA ULIVYOAGWA JIJINI DAR

Hivi ndivyo mwili wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga ulivyoagwa katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA BALOZI FULGENCE KAZAURA ULIVYOAGWA KATIKA KANISA LA MT. PETER JIJINI DAR

Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence Kazaura likiwa ndani ya Kanisa la Mt. Peter,Osterbay jijini Dar es Salaam tayari kwa Ibada maalum ya kumuombea Marehemu huyo iliyofanyika mchana wa leo kanisani hapo. Viongozi wa Kanisa hilo la Mt. Peter wakiwaongoza waomboleazaji kuaga Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Balozi Fulgence...

 

5 years ago

BBC

George Floyd protests: The statues being defaced

As statues are toppled and defaced, a light is being shone on countries' colonial history.

 

5 years ago

BBC

How Ghana paid tribute to George Floyd

The African-American is immortalised in the West African state where people were once enslaved.

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MWANAFUNZI ANASTAZIA LACKFORD ANAYEDAIWA KUUNGUZWA NA KUPEWA SUMU NA BABA YAKE ULIVYOAGWA SHULENI KWAO MWANZA SEKONDARI

Waombolezaji wakisubiri kuuaga mwili wa marehemu Anastazia Lackford Magafu aliyefariki baada ya kudaiwa kuchomwa moto na baba yake kisha kupewa juisi yenye sumu. Marehemu Anastazia Lackford Magafu enzi za uhai.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani