Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwimbaji wa Jamaica, Alaine aisifia ‘Never Ever’ ya Vanessa Mdee

Alaine TZ

Inatia moyo kuona jinsi muziki Bongo unavyozidi kupenya kwenye masikio ya mashabiki wa nje wakiwemo mastaa, hii ni kutokana na jitihada zinazofanywa na wasanii wa Tanzania wanaowekeza kufanya muziki mzuri na video kali.

Alaine TZ
Alaine alipotua Tanzania 2013

Baada ya mtangazaji maarufu wa Afrika Kusini, Bonang Matheba kuonesha kuukubali wimbo mpya wa Joh Makini aliomshirikisha AKA wa Afrika Kusini ‘Don’t Bother’ kwenye post ya AKA Instagram, mwimbaji mwingine wa Reggae kutoka Jamaica aliyewahi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Vanessa Mdee — Never Ever

Video mpya Vanessa Mdee ya wimbo wake ‘Never Ever’ iliyoongozwa na Justin Campos. Ilifanyika nchini Afrika Kusini. Wimbo umetayarishwa na Nahreel. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

CloudsFM

New Video: Vanessa Mdee - Come Over

Baada ya kuisubilia kwa hamu kubwa sana video ya wimbo wa Come over toka kwa Vanessa, imeachiwa siku ya jana kupitia account ya Youtube ya Vanessa mdee chukua muda wako kuiangalia....

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mtanzania

Ruby: Namtamani Vanessa Mdee

Rubby - Hellen-GeorgeNA MWALI IBRAHIM
MSANII chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ameonyesha tamaa ya mafanikio aliyonayo msanii mwenzake, Vanessa Mdee ‘Vee money’.
Ruby ambaye anatamba na wimbo wa ‘Nayule’ alisema, kutokana na mafanikio ya Vanessa ameamua kufuata nyayo zake ili afikie mafanikio yake.
“Anajiheshimu, ana kipaji na anajua nini anafanya na kipi mashabiki wake wanataka kwa wakati huo na mimi nataka kuwa kama yeye na ninaimani nitafika alipo,” alieleza...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Vanessa Mdee — Hawajui

Vanessa Mdee ameachia video ya ‘Hawajui’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini. Itazame hapa.

 

10 years ago

TheCitizen

Mamas is the next step for Vanessa Mdee

The awards are set to be held on saturday July 18 in durban S.africa. Vanessa is in the best female category

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani