Mwimbaji wa Jamaica, Alaine aisifia ‘Never Ever’ ya Vanessa Mdee
Inatia moyo kuona jinsi muziki Bongo unavyozidi kupenya kwenye masikio ya mashabiki wa nje wakiwemo mastaa, hii ni kutokana na jitihada zinazofanywa na wasanii wa Tanzania wanaowekeza kufanya muziki mzuri na video kali.
Alaine alipotua Tanzania 2013
Baada ya mtangazaji maarufu wa Afrika Kusini, Bonang Matheba kuonesha kuukubali wimbo mpya wa Joh Makini aliomshirikisha AKA wa Afrika Kusini ‘Don’t Bother’ kwenye post ya AKA Instagram, mwimbaji mwingine wa Reggae kutoka Jamaica aliyewahi...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Oct
Video: Vanessa Mdee — Never Ever
11 years ago
CloudsFM20 Jun
New Video: Vanessa Mdee - Come Over
Baada ya kuisubilia kwa hamu kubwa sana video ya wimbo wa Come over toka kwa Vanessa, imeachiwa siku ya jana kupitia account ya Youtube ya Vanessa mdee chukua muda wako kuiangalia....
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/8v1mVENcKC8/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Ruby: Namtamani Vanessa Mdee
NA MWALI IBRAHIM
MSANII chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ameonyesha tamaa ya mafanikio aliyonayo msanii mwenzake, Vanessa Mdee ‘Vee money’.
Ruby ambaye anatamba na wimbo wa ‘Nayule’ alisema, kutokana na mafanikio ya Vanessa ameamua kufuata nyayo zake ili afikie mafanikio yake.
“Anajiheshimu, ana kipaji na anajua nini anafanya na kipi mashabiki wake wanataka kwa wakati huo na mimi nataka kuwa kama yeye na ninaimani nitafika alipo,” alieleza...
10 years ago
GPL27 Mar
10 years ago
Bongo508 Dec
New Video: Vanessa Mdee — Hawajui
10 years ago
TheCitizen19 Jun
Mamas is the next step for Vanessa Mdee
11 years ago
GPL23 Jun