Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Chilo adai ugomvi wa Bongo Movie Unity unatokana na uchu wa madaraka

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Mzee Chilo amesema ungomvi unaotokea ndani ya Bongo Movie Unity unasababishwa na uchu wa madaraka. Chilo amesema hakuna chochote kinachogombaniwa zaidi ya madaraka ndani ya tasnia hiyo ambayo amedai imekosa ushirikiano. “Nimesikia mengi sana kuhusu bongo movie unity, sijui huyu kajiuzulu lakini niseme ukweli tatizo ni uchu wa madaraka,” ameiambia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mzee Chilo adai runinga zilisababisha kupotea tamthilia za nyumbani

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.

Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto

Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.

“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa rahisi?” amesema...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mzee Chilo: Going Bongo Inastahili Tuzo Zaidi

Mwigizaji wa filamu, Chilo ametaja sababu tatu zinazoweza kuifanya filamu ya Going Bongo kushinda tuzo zaidi, ambazo ni maandalizi ya muda mrefu, kuona mbali na waigizaji kutambua kazi yao.

Mwigizaji huyo, ambaye jina lake halisi ni Ahmed Olutu, alisema inawezekana mambo mengine yamo ndani ya maandalizi, lakini kiuhalisia kila jambo linajitegemea, kwa sababu unaweza kuandaa kila kitu lakini waigizaji wakawa hawatambui thamani ya ulichokiandaa na kufanya mzaha katika kazi.

Chilo ni miongoni...

 

10 years ago

Bongo5

Mzee Chilo asema filamu ya ‘Going Bongo’ imemfunza mengi

Msanii wa filamu nchini, Ahmed Olotu maarufu kama Mzee Chilo, amesema kuigiza ndani ya filamu ya Going Bongo kumemfunza mambo mengi huku akidai kuwa amegundua filamu nyingi za bongo watu wanakurupuka. Mzee Chilo (kulia) akiwa na muigizaji mkuu wa filamu ya Going Bongo, Ernest ‘Napoleon’ Rwandalla Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni katika uzinduzi wa filamu […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Irene Paul na Mzee Chilo ndani ya uzinduzi wa “Narudi Bongo”

4K0A9209

Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Ernest Rwandalla akiwa na wadau waliojitokeza kwenye uzinduzi.

4K0A9278

Akiwa na baadhi ya wasanii waliojitokeza.

4K0A9341

Mzee Chilo akiwa na mwigizaji Mkuu wa filamu hiyo.

4K0A9345

Irene Paul nae alikuwapo pia kushuhudia uzinduzi huo.

4K0A9365

Ilikuwa ni siku ya furaha.

4K0A9291

Akihojiwa na waandishi wa habari.

4K0A9388

Na Mwandishi Wetu

FILAMU Going Bongo imezinduliwa rasmi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, kwenye hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo.

Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu

Muigizaji wa filamu za Bongo ambaye naye ameingia kwenye Bongo Fleva, Florah Mvungi a.k.a H.Mama na msanii wa muziki wa mduara AT ambao hivi karibuni wametoa wimbo wa pamoja ‘Mkazurule’ , walikuwa wageni kwenye kipindi cha Papaso kupitia TBC Fm. Miongoni mwa vitu ambavyo Florah ambaye pia ni mke wa H.Baba alivisema ni kuwa waigizaji […]

 

10 years ago

GPL

BI MWENDA AMEMTAKA RAIS WA BONGO MOVIE UNITY AJIUZULU

Stori: Shani Ramadhani
MKONGWE wa uigizaji Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ amemtaka Mwenyekiti  wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ asijiuzulu kwani kazi aliyoifanya hadi sasa ni kubwa na nzuri. Mkongwe wa uigizaji Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ “Mimi nashangaa haya maneno yanatokea wapi sijui, lakini sipendi kusikia Steve Nyerere amejiuzulu na kama akijiuzulu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri huu ni demokrasia au uchu wa madaraka?

Kila unakopita mjadala ni mmoja: “Je, hawa watiania wa Chama cha Mapinduzi mbona wanazidi kuongezeka kila kukicha, maana yake ni nini?”

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA: Viongozi acheni uchu wa madaraka

VIONGOZI ndani ya serikali wa taasisi mbalimbali wametakiwa kuacha uchu wa madaraka, badala yake wajifunze kwa waasisi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Shirikisho la Vyama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani