Mzee Chilo adai ugomvi wa Bongo Movie Unity unatokana na uchu wa madaraka
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Mzee Chilo amesema ungomvi unaotokea ndani ya Bongo Movie Unity unasababishwa na uchu wa madaraka. Chilo amesema hakuna chochote kinachogombaniwa zaidi ya madaraka ndani ya tasnia hiyo ambayo amedai imekosa ushirikiano. “Nimesikia mengi sana kuhusu bongo movie unity, sijui huyu kajiuzulu lakini niseme ukweli tatizo ni uchu wa madaraka,” ameiambia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Dec
Mzee Chilo adai runinga zilisababisha kupotea tamthilia za nyumbani
![Mzee Chilo akizungumza jambo na watoto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Mzee-Chilo-akizungumza-jambo-na-watoto1-300x194.jpg)
Msanii wa filamu, Mzee Chilo amedai wamiliki wa runinga nchini ndio waliosababisha kupotea kwa tamthilia za nyumbani kwa kuzikwepa na kuonesha za kigeni.
Muigizaji huyo ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya Pilipili Entertainment, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imesababisha wazalishaji wa filamu nchini kukaa na kazi zao ndani bila kuwa na sehemu za kuzipeleka.
“Kilichopoteza tamthilia zetu ni runinga zetu, wakawa wanaamua kuonesha tamthilia za kigeni sijui kwao ndio zilikuwa rahisi?” amesema...
9 years ago
Bongo Movies12 Nov
Mzee Chilo: Going Bongo Inastahili Tuzo Zaidi
Mwigizaji wa filamu, Chilo ametaja sababu tatu zinazoweza kuifanya filamu ya Going Bongo kushinda tuzo zaidi, ambazo ni maandalizi ya muda mrefu, kuona mbali na waigizaji kutambua kazi yao.
Mwigizaji huyo, ambaye jina lake halisi ni Ahmed Olutu, alisema inawezekana mambo mengine yamo ndani ya maandalizi, lakini kiuhalisia kila jambo linajitegemea, kwa sababu unaweza kuandaa kila kitu lakini waigizaji wakawa hawatambui thamani ya ulichokiandaa na kufanya mzaha katika kazi.
Chilo ni miongoni...
10 years ago
Bongo513 Apr
Mzee Chilo asema filamu ya ‘Going Bongo’ imemfunza mengi
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Irene Paul na Mzee Chilo ndani ya uzinduzi wa “Narudi Bongo”
Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Ernest Rwandalla akiwa na wadau waliojitokeza kwenye uzinduzi.
Akiwa na baadhi ya wasanii waliojitokeza.
Mzee Chilo akiwa na mwigizaji Mkuu wa filamu hiyo.
Irene Paul nae alikuwapo pia kushuhudia uzinduzi huo.
Ilikuwa ni siku ya furaha.
Akihojiwa na waandishi wa habari.
Na Mwandishi Wetu
FILAMU Going Bongo imezinduliwa rasmi na kuhudhuriwa na mamia ya wadau wa filamu nchini, kwenye hafla iliyofanyika eneo la Bahari Zoo.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Bongo509 Feb
PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPOVBfBiUY-LXeaSGTwnODM7*sroNP-dyMqSeR5lK6x4RhtdA2itMsePmNL-4gplbEhMBRM16kQRcc5iZSnPIZc4/bimwenda.jpg)
BI MWENDA AMEMTAKA RAIS WA BONGO MOVIE UNITY AJIUZULU
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Utitiri huu ni demokrasia au uchu wa madaraka?
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
TUCTA: Viongozi acheni uchu wa madaraka
VIONGOZI ndani ya serikali wa taasisi mbalimbali wametakiwa kuacha uchu wa madaraka, badala yake wajifunze kwa waasisi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Shirikisho la Vyama...