Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZEE YUSUF ALIVYOWARUSHA WAKAZI WA TANGA KATIKA MKUTANO WA CCM.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA MZEE YUSUF ZATEKWA

Shabiki aliyeteka tuzo za Mzee Yusuf akibishana na watu wa karibu wa Mzee Yusuf. Stori: Shakoor Jongo
KITUKO! Shabiki mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alifanya jaribio la kuteka moja ya tuzo za Mfalme wa Muziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf katika ukumbi wa Mlimani City, Dar ambapo shughuli za utolewaji wa tuzo hizo kwa wasanii zilifanyika wikiendi iliyopita. Mzee aliye Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern...

 

11 years ago

TheCitizen

Diamond is No. 1, ‘seconded’ by Mzee Yusuf

We start with taking a look at the way scribblers misdirect themselves by using inappropriate or even wrong words. It exposes our limitedness in vocabulary.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Yusuf kutikisa na filamu

MFALME wa Muziki wa taarabu Nchini, Mzee Yusuf, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza mwezi huu itakayokwenda kwa jina la ‘Nitadumu naye’ ikiwa ni nyimbo iliyowahi kutamba  nayo mwaka 2006....

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASHUKURU WAKAZI WA TANGA KWA KUFANYA VYEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

 Wananchi wa Tanga mjini wakimpa mkono wa kumuga Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kumaliza mkutano wake wa kuwashukuru Watanzania kwa kuichagua CCM na kuwashukuru kwa imani yao kwa kutambua chama kinaweza kuongoza.  Wananchi wakiwa wamefurika uwanjani Tangamano kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM wakati wa kuwashukuru wananchi hao kwa kuichagua CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwezi Desemba 2014.  Wananchi wakiwa wamefurika uwanjani Tangamano...

 

9 years ago

GPL

BAUNSA WA MZEE YUSUF ALIVYOPIGWA RISASI

Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha
HATARI! Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa ambaye ni baunsa wa mwanamuziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf ‘Mfalme’, amenusurika baada ya kupigwa risasi na shabiki aliyefahamika kwa jina mmoja la Kev, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili.  Hassan Baunsa akiwa hospitali. Tukio hilo la kutisha lilijiri juzikati kwenye Ukumbi wa Hugos uliopo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani