NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA BARAZA LA WATUMIAJI WA USAFIRI WA ANGA HAPA NCHINI
Naibu Katibu wa wizara ya uchukuzi, Monica Mwamunyange akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa Baraza la watumiaji wa huduma za usarifishaji wa Anga hapa nchini mara baada ya kutoka kwenye mkutano uliofanyika katika Hotel ya New Africa jijini Dar es Salaam leo.
Katibu mtendaji wa Baraza la watumiaji wa usafiri wa anga hapa nchini Hamza Johari akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana watumiaji wa usafiri wa anga kutokuweka vitu vya thamani kubwa kwenye mabegi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 May
Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga( ICAO) atembelea Wizara ya Uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongea na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kutembelea katika ofisi za wizara ya uchukuzi jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Shirika la Usafiri wa Anga( ICAO) yupo nchini kwa ziara ya kikazi kuanzaia Tarehe 14 hadi 18 mei 2014.
KARIBU MGENI MWENYEJI ASHIBE ; Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akimkaribisha Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, MWINJAKA AZINDUA BODI (RAHCO).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pk9kp3f-4BU/VIHCKSjAfYI/AAAAAAAG1c0/QWMXkTLgmMI/s72-c/unnamed1.jpg)
WAZIRI WA UCHUKUZI DK. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA JENGO LA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-pk9kp3f-4BU/VIHCKSjAfYI/AAAAAAAG1c0/QWMXkTLgmMI/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8tubJQEmrxE/VIHCKMPYDXI/AAAAAAAG1cs/Ji-JAEh3I5E/s1600/unnamed2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 May
Katibu Mkuu wa Shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO) Bw. Raymond Benjamin awasili nchini kwa ziara ya 5 kikazi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongozana na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kuwasilia katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,kwa ziara ya kikazi nchini kuanzia leo tarehe 14n hadi 18 Mei 2014. Tanzania ni moja ya nchi mbili ikiwemo Ethiopia atakazotembelea katika Kanda ya ICAO .
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s72-c/000.jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO) BW,RAYMOND BENJAMIN AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s1600/000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n9Or-5vivTU/U3Oc4hQIFFI/AAAAAAAFhus/O3NOMXlhzYI/s1600/03.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Baraza la ushauri la watumiaji usafiri wa Anga TCAA-CCC washiriki kikamilifu wiki ya Utumishi wa Umma Mnazi Mmoja Dar
Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC)wakitoa huduma kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda hilo leo.
Kikosi kazi cha Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) wakiwa tayari kutoa huduma kwa wageni mbalimbali watakaotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Athuman Bakari, Aziza Tamim na Debora Mligo.
Katibu Mtendaji wa...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
10 years ago
VijimamboBARAZA LA USHAURI LA WATUMIAJI USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC WASHIRIKI KIKAMILIFU WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM
Katibu Mtendaji wa Baraza...