Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namba 210 ya pekee Ligi Kuu

Takwimu hazidanganyi. Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikiendelea leo kwa mchezo wa kiporo baina ya Azam inayoshika nafasi ya pili na Mtibwa Sugar inayoifuatia, namba 210 imejitokeza na kuonyesha ajabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA CILAO LAFUNGUA KESI NAMBA 06 YA MWAKA 2020 MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUMSHTAKI SPIKA WA BUNGE

Na Woinde Shizza,Arusha

Shirika la CILAO limefungua kesi leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ya Arusha kumshtaki Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil Mwambe kufuatia kitendo cha Spika kumruhusu Cecil Mwambe kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge aliyakuwa alitangaza kujiuzuru .

Akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi mtendaji wa Shirika la CILAO Odero Oder alisema kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Karibuni Ligi Kuu

WAKATI Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikielekea ukingoni, timu tatu za kuchukua nafasi ya timu zilizoshindwa kuhimili kishindo, zimeshajulikana kutoka Ligi Daraja la Kwanza. Hiyo ni kwa mujibu wa kanuni...

 

9 years ago

Habarileo

Mwadui kutisha Ligi Kuu

TIMU ya Mwadui FC kati ya timu nne zilizopanda msimu huu inapewa nafasi ya kuleta upinzani mkali katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kusajili wachezaji wenye uzoefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani