Namshukuru Ferguson kuniamini: Van Gaal
Meneja wa Manchester United amesema kuaminiwa na bosi wa zamani wa timu hiyo Sir Alex Ferguson kumeifanya kazi yake kuwa nyepesi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Van Gaal:Sikushangaa kulazwa4-0 na MK Dons
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Van Gaal kupewa ukurugenzi Uholanzi
AMSTERDAM, UHOLANZI
TIMU ya Taifa ya Uholanzi, ipo tayari kumpa nafasi kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal, kuwa Mkurugenzi wa ufundi kama atafukuzwa na uongozi wa klabu ya Manchester United.
Uongozi wa klabu ya Manchester United ulimpa kocha huyo michezo miwili ili kuweza kulinda kiwango chake, lakini michezo hiyo bado hakufanya vizuri ambapo mchezo wa kwanza alifungwa mabao 2-0 dhidi ya Soke City wakati mchezo wa pili akitoka suluhu dhidi ya Chelsea.
Kwa sasa kocha huyo anangoja...
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Van Gaal aapa kuishinda Mancity
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao