Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namshukuru Ferguson kuniamini: Van Gaal

Meneja wa Manchester United amesema kuaminiwa na bosi wa zamani wa timu hiyo Sir Alex Ferguson kumeifanya kazi yake kuwa nyepesi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Sikushangaa kulazwa4-0 na MK Dons

Louis van Gaal amesema hakushangazwa na kichapo cha mabao 4-0 mikononi mwa MK Dons .

 

9 years ago

Mtanzania

Van Gaal kupewa ukurugenzi Uholanzi

Van GaalAMSTERDAM, UHOLANZI

TIMU ya Taifa ya Uholanzi, ipo tayari kumpa nafasi kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal, kuwa Mkurugenzi wa ufundi kama atafukuzwa na uongozi wa klabu ya Manchester United.

Uongozi wa klabu ya Manchester United ulimpa kocha huyo michezo miwili ili kuweza kulinda kiwango chake, lakini michezo hiyo bado hakufanya vizuri ambapo mchezo wa kwanza alifungwa mabao 2-0 dhidi ya Soke City wakati mchezo wa pili akitoka suluhu dhidi ya Chelsea.

Kwa sasa kocha huyo anangoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal aapa kuishinda Mancity

Louis Van Gaal anaamini kwamba timu yake itatumia fursa ya kushuka kwakiwango cha mchezo kilabu ya Manchester City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao

Kocha wa Man United Louis Van Gaal amesema uamuzi wa kumuondoa mshambuliaji Radamel Falcao kutoka kwenye kikosi chake ulikuwa wa kiufundi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani