Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal kupewa ukurugenzi Uholanzi

Van GaalAMSTERDAM, UHOLANZI

TIMU ya Taifa ya Uholanzi, ipo tayari kumpa nafasi kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal, kuwa Mkurugenzi wa ufundi kama atafukuzwa na uongozi wa klabu ya Manchester United.

Uongozi wa klabu ya Manchester United ulimpa kocha huyo michezo miwili ili kuweza kulinda kiwango chake, lakini michezo hiyo bado hakufanya vizuri ambapo mchezo wa kwanza alifungwa mabao 2-0 dhidi ya Soke City wakati mchezo wa pili akitoka suluhu dhidi ya Chelsea.

Kwa sasa kocha huyo anangoja...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Van Persie aitia wasiwasi Uholanzi

Persie alishindwa kumalizia mchezo huo ambao timu yake ilishinda kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wales uliopigwa Jumanne usiku.

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal hana kisingizio

Bosi wa Manchester United Louis van Gaal amesema hana kisingizio chochote cha kwanini wametolewa kwenye UEFA Champions ligi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Namshukuru Ferguson kuniamini: Van Gaal

Meneja wa Manchester United amesema kuaminiwa na bosi wa zamani wa timu hiyo Sir Alex Ferguson kumeifanya kazi yake kuwa nyepesi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal

thierry-henry-jamie-carragher-di

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.

Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tunataka kushinda ligi

Manchester United bado ina matumaini ya kushinda ligi ya Uingereza msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani