Van Gaal kupewa ukurugenzi Uholanzi
AMSTERDAM, UHOLANZI
TIMU ya Taifa ya Uholanzi, ipo tayari kumpa nafasi kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal, kuwa Mkurugenzi wa ufundi kama atafukuzwa na uongozi wa klabu ya Manchester United.
Uongozi wa klabu ya Manchester United ulimpa kocha huyo michezo miwili ili kuweza kulinda kiwango chake, lakini michezo hiyo bado hakufanya vizuri ambapo mchezo wa kwanza alifungwa mabao 2-0 dhidi ya Soke City wakati mchezo wa pili akitoka suluhu dhidi ya Chelsea.
Kwa sasa kocha huyo anangoja...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
11 years ago
Mwananchi06 Jun
BRAZIL 2014: Van Persie aitia wasiwasi Uholanzi
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Louis van Gaal hana kisingizio
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Namshukuru Ferguson kuniamini: Van Gaal
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.
Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Van Gaal:Tunataka kushinda ligi