Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani wa kuvaa viatu vya Edward Sokoine?

Nataka niseme bila kumung’unya maneno, kwamba anatakiwa waziri mkuu mwingine wa kuvaa viatu vya waziri mkuu wa zamani, marehemu Edward Sokoine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wanasiasa watakiwa ‘kuvaa viatu’ vya Filikunjombe

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza waombolezaji kuuaga mwili wa mgombea ubunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe ambaye wanasiasa wametakiwa kuvaa ‘viatu vyake’ kuiga mema aliyokuwa anayatenda.

 

10 years ago

Raia Tanzania

JUMA KAPONDA: Ninatosha kuvaa viatu vya Prof. Mwandosya

JOTO la uchaguzi mkuu linaendelea kushika kasi, huku kiu ya mabadiliko ikiwagusa wengi, baadhi yao wakitangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.

Mwalimu Juma Kaponda, ambaye ni Ofisa Elimu ya Msingi Mkoa wa Dodoma, ametangaza nia kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki.  Fuatana na mwandishi wetu Christina Mwagala katika mahojiano haya, ili kujua kwa undani dhamira ya Kaponda.

Raia Tanzania: Msomaji angependa kufahamu, wewe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala

fomu

Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.

kwa nguvu

Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.

nimenyooka

Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.

ninao uwezo

tuko imara

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.

pamoja

vijana

Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwalimu Mussa Ramadhan Sima, atangazwa kuvaa viatu vya MO jimbo la Singida mjini

IMG_0164

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida mjini, Joseph Mchina (kulia) akimkabidhi Mwalimu Mussa Ramadhan Sima, cheti cha ushindi wa ubunge jimbo la Singida mjini leo.

Na Nathaniel Limu, Singida

Mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM, Dk.John Pombe Magufuli, amezoa kura 36,035 katika jimbo la Singida mjini sawa na asilimia 64.09 za kura zote 56,558 zilizopigwa.

Wagombea wengine wa nafasi ya urais na kura zao kwenye mabano kuwa ni mgombea wa Ukawa Lowassa Edward Ngoyai (19,007), mgombea wa ACT...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Aunt Ezekiel Ajiwezi Hata Kuvaa Viatu!!

Mimba ya muigizaji Aunt Ezekiel imeanza kumtibua baada ya nyota huyo kushindwa kufanya baadhi ya kazi ambazo alikuwa akizifanya mwenyewe.

Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, kutokana na tumbo kuwa kubwa, Aunt kwa sasa hawezi kufunga viatu vyake, kufua, kuosha vyombo na hata akitaka kwenda toileti inabidi apewe kampani na mtu.

“Mh! Jamani Aunt hata kuinama ni mtihani sasa sijui kama ni kujidekeza au nini maana anapokuwa karibu na bebi wake ndiyo usiseme ni full kudeka anasema akiinama anaumia...

 

11 years ago

Michuzi

The Late Edward Moringe Sokoine

Edward Moringe Sokoine (1 August 1938 – 12 April 1984) was Prime Minister of Tanzania from 13 February 1977 to 7 November 1980 and again from 24 February 1983 to 12 April 1984.
Edward Moringe Sokoine had a developmental conception of the village. Sokoine saw the village as a harbinger of self-reliant, national development and the peasant as an agency of change. He was a person of unimpeachable personal integrity.
In 1938, Sokoine was born in Monduli, Arusha Region, Tanzania. From 1948 to...

 

9 years ago

Vijimambo

NDESAMBURO ASEMA ALIYEKUWA MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL NDIYE ANAWEZA KUVAA VIATU VYAKE

Mbunge anayemaliza muda wake,Philemoni Ndesamburo akimuombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Jafary Michael (Chadema) katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Manyema mjini Moshi.Baadhi ya wakazi wa Moshi waliojitikeza katika mkutano huo.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa, Zanzibar Said Issa Mohamed akiwahutubia wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katka mkutano huo.Baadhi ya wakazi wa mji wa mOSHI.Mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Jafary Michael akiwa amekaa jirani na...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amesema viatu vya Hayati Waziri Mkuu wa tatu, Edward Sokoine ni vikubwa sana na kwamba havivaliki.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Monduli Bears Edward Sokoine's Indelible Memories


Monduli Bears Edward Sokoine's Indelible Memories
AllAfrica.com
Arusha — IBRAHIM Sokoine knows exactly what he wants; and it is not basking in public limelight. "Hate politics, would rather lead a quiet life," stated the 5th born son of the former Prime Minister, the late Edward Moringe Sokoine. Most of Sokoine's eleven ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani