Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATOA HOJA: Hebu anzeni kuwafuatilia Etoile du Sahel

Wiki iliyopita, Yanga iliwatoa kimasomaso Watanzania kwa kuirarua Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga kukwaana na Etoile du Sahel

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Pluijm: Bring on Etoile du Sahel

>Coach Hans Van Pluijm says resurgent Young Africans have what it takes to kill the jinx of failing to shine whenever they are up against North African outfits.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia

Yanga ya Tanzania imeondoka Dar es Salaam kuelekea Tunisia kwa ajili ya mechi yao ya marudiano na Etoile du Sahel ,Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia

 

10 years ago

Mwananchi

Mtakaotwaa ubingwa, mmeiona Etoile du Sahel?

Wiki iliyopita, nilikuwa naiangalia Twiga Stars baada ya kufuzu Michezo ya Afrika, itakayofanyika Congo, Brazaville.

 

10 years ago

TheCitizen

Go, Young Africans, go, beat etoile du Sahel

It takes determination to succeed in anything. This is the frame of mind Young Africans should be in when they go head-to-head with Tunisia’s Etoile du Sahel.

 

10 years ago

GPL

YANGA, ETOILE DU SAHEL NGUVU SAWA

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Etoile Du Sahel wakati wa mechi yao ya Kombe la Shirikisho iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar jana. Matokeo yalikuwa sare ya 1-1. Patashika wakati wa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho uliomalizika kwa sare ya 1-1. Yanga…

 

10 years ago

GPL

YANGA ILIVYOJIFUA LEO KUWAWINDA ETOILE DU SAHEL

Kocha Pluijm akimuelekeza jambo mshambuliaji, Danny Mrwanda Hassan Dilunga akimtoka Amissi Tambwe huku, Nizar Khalfan (kulia) akijiandaa kutoa msaada Daktari wa Yanga, Juma Sufiani, akimtibu kipa, Ally Mustapha ‘Barthez’…

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIPA MBINU YANGA KUINYOA ETOILE DU SAHEL

Kuelekea mchezo wa michuano ya kombe la shirikisho barani afrika kati ya Yanga dhidi ya Etoile Du Sahel ya Tunisia utakaopigwa jumamosi hii April 18 katika uwanja wa taifa,Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimeitabiria makubwa klabu hiyo ya Jangwani kuvuka katika kizingiti hicho kigumu kwa mchezo wa nyumbani na ugenini dhidi ya wababe hao wa Tunisia.
Mwenyekiti wa chama hicho Almasi Kasongo,amesema ili yanga ifanye vizuri katika mechi hiyo na kuwapa raha mashabiki wake na watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani