Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEEMA JUMANNE: Mwanasarakasi anayeshiriki michezo hadi siku ya kujifungua

MABADILIKO katika mwili wa mwanamke anapokuwa na ujauzito ni jambo lisiloepukika, kwani wengi wao hubadilika pindi wanapobeba ujauzito, ambako wapo wanaomudu kuzikabili changamoto zitokanazo na hali hiyo katika namna ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa mimba hadi kujifungua

MARA moja kwa kila mwezi tutakuwa tunamsikiliza mjamzito aliyejifungua hivi karibuni tukijaribu kujifunza kwake kuhusu ujauzito. Katika makala ya leo tunamsikiliza Mama Mariam kuanzia alipokuwa na ujauzitio wa miezi sita...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona. 





DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.

Hatua hizo...

 

11 years ago

GPL

AJIUZA SIKU TATU KABLA YA KUJIFUNGUA!

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
YELEUUUWI! Mwanamke mjamzito aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamisa amenaswa laivu na ‘makachero’ wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers,  akijiuza huku akiwa na ujauzito wa miezi nane na siku 27, zikiwa zimesalia siku tatu afikishe miezi tisa tayari kwa kujifungua. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri wiki iliyopita usiku wa manane Mbagala-Zakhem, Dar,...

 

11 years ago

Dewji Blog

New Safari Restaurant Washington DC sasa inafunguliwa Jumanne hadi Jumapili-Karibuni

Untitled 11

Mbuzi wa Kukaanga                         Nyama ya Kuchoma

New Safari Restaurant Inavyoonekana kwa sasa Ndani.

Baadhi ya Kinadada wa Tano Ladies Wakipata Lunch

  Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na Wageni wake Wakipata Dinner.

                                      

                          Wakurugenzi Wakiburudika na Kinywaji baada ya Mlo.

Untitled 22

Wadau Mbali Mbali Wakijumuika Pamoja bila kujali itikadi zao.

KARIBUNI TUNAFUNGUA JUMANNE HADI JUMAPILI DINNER...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

uefa_champions_league-wallpaper-1440x1080

GROUP: E

BATE Borisov – Bayer Leverkusen   20:00 EAT

Barcelona – Roma  22:45 EAT

GROUP: F

Arsenal – Dinamo Zagreb  22:45 EAT

Bayern Munich – Olympiakos  22:45 EAT

GROUP: G

Porto – Dynamo Kyiv  22:45 EAT

Maccabi Tel Aviv – Chelsea  22:45 EAT

GROUP: H

Zenit St. Petersburg – Valencia  20:00 EAT

Lyon – Gent  22:45 EAT

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas

Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian ambaye ni mjamzito wanatarajia kumpokea mdogo wake na North siku ya Christmas, ambapo Kim ndio anatarajia kujifungua. Kwa mujibu wa TMZ, Kim K anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili Dec. 25. Vyanzo vya karibu vimedia kuwa couple hiyo tayari ime ‘book’ Deluxe Maternity Suite kwenye hospitali ya Cedars-Sinai […]

 

10 years ago

Vijimambo

KWA MTAJI HUU NDUGU ZETU PALE TANZANIA TUTAENDELEA KUWAPOTEZA SIKU HADI SIKU

 Hii inaonyesha kuwa madereva wa Tanzania siyo watu wenye kuelewa umuhimu wa uhai wa abiria.Unaweza kuona hapa line za katikati zinaonyesha kabisa utakiwi kufanya hili unaloliona hapa 

 

9 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU


Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku  Watanzania wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani