New Music: Sho Daddy Feat. Bob Junior — Mapenzi ya Lawama
Sho Daddy ni msanii mpya amemshirikisha Bob Junior ngoma inaitwa “Mapenzi ya Lawama” imefanyika katika Studio za Sharobaro Rec
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo514 Jul
New Music: Bob Junior — Bolingo
9 years ago
Bongo511 Sep
Music: Smile Ft. Bob Junior — Naona Raha
9 years ago
Bongo507 Nov
Music: Puff Daddy feat. Future — MMM
![diddy-future](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/diddy-future-300x194.jpg)
In just a matter of hours, Puff Daddy will drop his album MMM for free. The long-awaited project is chalk full of appearances from Lil’ Kim, Travis Scott, Big Sean, Wiz Khalifa, and Future, who appears on the title track.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Bob Junior ajipanga upya
BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Bob Junior: Tutaonana baada ya Oktoba 25
NA THERESIA GASPER,
PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Raheem Rummy ‘Bob Junior’, amewataka mashabiki wake waonane baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa kuwa sasa amebanwa na shughuli za uhamasishaji wa upigaji wa kura katika
kampeni za wagombea urais.
“Sina mpango wa kuachia wimbo wala albamu yangu kwa sasa, lakini baada ya uchaguzi nitafanya hivyo kwa kuwa nitakuwa na muda mwingi wa kukaa studio na kuandaa muziki mzuri ambao kwa sasa sipati muda huo,” alisema
Bob Junior mkali wa wimbo wa...
10 years ago
GPL27 Aug
10 years ago
CloudsFM15 Jan
BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO
Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.