New Video: Sparrow f/ Makamua, T Nock and Solace — Sparrow
Tazama video ya wimbo wa rapper wa Mwanza aitwaye Sparrow akiwashirikisha Makamua, T Nock na Solace. Wimbo unaitwa hivyo hivyo kama jina lake Sparrow.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi09 Aug
10 years ago
Bongo527 Apr
New Video: Kitwana Ft Makamua — Nyie
Video mpya ya msanii Kitwana akimshirikisha Makamua wimbo unaitwa “Nyie” video imeongozwa na Hanscana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hUB5u0yvhns/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vyq-KIeGhJ8/default.jpg)
10 years ago
TheCitizen23 Apr
Youths find solace in selling sugarcane juice
When Mr Abraham Juma left Dumila Village in Morogoro for Dar es Salaam four years ago, he thought the country’s commercial hub would offer him a job that would be good enough to entice him to decide on his career destiny.
11 years ago
Michuzi05 Jun
10 years ago
Bongo Movies06 May
Makamua Kuibukia Bongo Movies
Staa wa Bongo Fleva kutoka kundi la wakali kwanza, anatarajia kuigiza filamu ya maisha ya muziki itakayoitwa “Bongo na Fleva”.
Akiongea na E-News ya EATV, Makamua alisema filamu hiyo itahusisha pia mastaa wengine wakubwa wa Bongo Flava na kwamba mpaka sasa mradi huo umekwisha kamilika.
Karibu sana.
11 years ago
Bongo505 Jul
Makamua kuingia studio na Ommy Dimpoz
Mkali Kwanza, Makamua amesema anatarajia kuingia studio na Ommy Dimpoz ili kuaanda wimbo wake mpya. Akizungumza na kipindi cha The cruise cha East Africa Radio, Makamua amesema kuwa katika ngoma hiyo yeye binafsi ameshaingiza vocal na anamsubiri Ommy akamilishe sehemu yake. “Ngoma inayofuata nafanya na Ommy Dimpoz na nimeshafanya na nimeshaongea na Ommy na nadhani […]
11 years ago
GPLMAKAMUA: WAKALI KWANZA LIMEBAKI JINA TU
Makamua akihojiwa na Global TV Online.
MAKALA NA ANDREW CARLOS
WAKALI kwanza ni moja kati ya makundi ambayo yalitikisa sana katika muziki wa Bongo Fleva mwaka 2006-2009. Kundi hili lilibebwa na vichwa vyenye madini, Josline, Makamua na Q-Jay. Mashabiki wengi walipenda nyimbo zao na miongoni mwa wimbo ambao ulitikisa sana ni pamoja na ule wa Natamani. Makamua, mmoja kati ya vichwa vilivyokuwa vikiunda kundi hili juzikati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania