MAKAMUA: WAKALI KWANZA LIMEBAKI JINA TU
Makamua akihojiwa na Global TV Online. MAKALA NA ANDREW CARLOS WAKALI kwanza ni moja kati ya makundi ambayo yalitikisa sana katika muziki wa Bongo Fleva mwaka 2006-2009. Kundi hili lilibebwa na vichwa vyenye madini, Josline, Makamua na Q-Jay. Mashabiki wengi walipenda nyimbo zao na miongoni mwa wimbo ambao ulitikisa sana ni pamoja na ule wa Natamani. Makamua, mmoja kati ya vichwa vilivyokuwa vikiunda kundi hili juzikati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Apr
New Video: Kitwana Ft Makamua — Nyie
10 years ago
Bongo Movies06 May
Makamua Kuibukia Bongo Movies
Staa wa Bongo Fleva kutoka kundi la wakali kwanza, anatarajia kuigiza filamu ya maisha ya muziki itakayoitwa “Bongo na Fleva”.
Akiongea na E-News ya EATV, Makamua alisema filamu hiyo itahusisha pia mastaa wengine wakubwa wa Bongo Flava na kwamba mpaka sasa mradi huo umekwisha kamilika.
Karibu sana.
11 years ago
Bongo505 Jul
Makamua kuingia studio na Ommy Dimpoz
9 years ago
Bongo513 Sep
Makamua: Nina nyimbo zaidi ya 100 zipo ndani
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hUB5u0yvhns/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vyq-KIeGhJ8/default.jpg)
11 years ago
GPLMAKAMUA ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Bongo526 Sep
New Video: Sparrow f/ Makamua, T Nock and Solace — Sparrow