NexLaw Advocates watembelea Vituo viwili vya kulelea watoto yatima jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-hro5BU9EXvU/VSbFJD5aU_I/AAAAAAAHP6I/NBndLAMMxhc/s72-c/nex2.jpg)
Ikiwa moja kati ya huduma zake za ‘Corporate Social Responsibility’ kwa jamii zitolewazo na NexLaw Advocates tarehe 4 April 2015 NexLaw Advocates ilitembelea vituo viwili vya watoto jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka. Vituo vilivyotembelewa na kampuni ya NexLaw Advocates ni House of Blue Hope ya Mabibo ambacho ni kituo cha kulelea watoto yatima na wasiojiweza na kituo cha watoto cha Msimbazi Children’s Home Centre cha Msimbazi jijini Dar es Salaam Home...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s72-c/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
PSPF YATOA MSAADA WA VYAKULA VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2inSDNpbgZ0/U9JcmslRlaI/AAAAAAACmOA/HmEmYqimzxk/s1600/Chakuwama_Said+Hassan%2528Chakuwama%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Dec
ALEX MSAMA AMWAGA ZAWADI ZA KRISMAS KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/120.jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMkq7jTEcqE/XnPN9-T8b1I/AAAAAAALke0/XekIKhc-xr8Lm-R_krPzmL9cLR5Sykc2ACLcBGAsYHQ/s72-c/m8.jpg)
MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA
Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAGAWA ZAWADI ZA EIDD EL FITR KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali kwa mtoto Sophia Said wa kituo cha Yatima cha Maunga cha Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitr.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hFvvNEUpFUY/default.jpg)
KAMPUNI ya Msama Promotions YATOA MSAADA WA VITU MBALI MBALI KWA VITUO 10 VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
KAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu katika jamii.
Akikabidhi misaada hiyo katika ofisi zake zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Msama alisema misaada hiyo ni sehemu ya fedha za mauzo ya DVD za Tamasha la Pasaka la mwaka huu.
Msama alisema kupitia mauzo ya DVD za Tamasha hilo ambalo lilifanyika April 6 katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s72-c/4.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s1600/4.jpg)
Tamasha la Pasaka linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...
10 years ago
MichuziAIRTEL YAKABIDHI FUTARI KWA WATOTO YATIMA KATIKA VITUO VITATU MKOANI DAR ES SALAAM.