Neymar pigo kwa Brazil
Fortaleza, Brazil. Mshambuliaji tegemeo wa Brazil, Neymar hatacheza tena Kombe la Dunia baada ya kuvunjika mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo wakati waliposhinda 2-1 dhidi ya Colombia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo
Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil
>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Neymar, Oscar waipamba Brazil mechi ya ufunguzi
Mabao mawili ya Neymar na moja la Oscar yametosha kuwapa wenyeji wa Kombe la Dunia, Brazil ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Croatia, katika mchezo wa kufungua wa mashindano hayo jana.
11 years ago
Mwananchi27 Jun
BRAZIL 2014: Kina Neymar wa Tanzania nchini Brazil
>Wakati Watanzania wakiamini kuwa mzao yeyote wa watoto nchini Brazil ana uhusiano na mchezo wa soka, kumbe kuna Watanzania wengi waliopata bahati ya kuchanganya damu kwa kuzaa na wanawake wa Brazil.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
BRAZIL 2014: Neymar, Brazil na mia za kihistoria
>Nyota wa Brazil, Neymar alianza fainali za mwaka huu za Kombe la Dunia kama kinda mwenye matumaini makubwa ya kufikia kilele cha mafanikio na kujipatia umaarufu.
11 years ago
TheCitizen03 Jul
BRAZIL 2014: Can Brazil win without helping Neymar?
As Brazil erupted when Chile’s Gonzalo Jara struck the post to hand La Selecao an agonising passage to the World Cup quarter-finals on penalties, their star player Neymar collapsed in the centre-circle in tears.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oto4-hHdKDFpjmqTQRaOLgkDYbSt*01BH0k5fbTp*kjh7fK6rvEyUAvcY*hazk9TFK95t-QGbeRiksy3hFp-nymU0FSv2WmE/pigo.jpg?width=650)
PIGO BRAZIL
STAA wa timu ya Brazil, Neymar hataendelea na michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kuvunjika mfupa unaoshikana na uti wa mgongo wakati wa mechi yao na Colombia usiku wa kuamkia leo. Neymar akitolewa nje ya uwanja wakati wa Robo Fainali dhidi ya Colombia. Staa huyo mwenye mabao manne mpaka sasa kwenye michuano hiyo, alitolewa uwanjani dakika tatu kabla ya mechi yao dhidi ya Colombia kumalizika.… ...
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Matumaini ya Brazil yategemea Neymar
Mchezaji wa kitambo wa Brazil ana wasiwasi taifa hilo linamshinikiza Neymar kunyakua Kombe la Dunia.
11 years ago
TheCitizen13 Jun
BRAZIL 2014: The Neymar Effect
Neymar pulled Brazil level after 30 minutes and Croatia reacted with fury when Japanese referee Yuichi Nishimura pointed to the penalty spot.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania