Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PIGO BRAZIL

STAA wa timu ya Brazil, Neymar hataendelea na michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kuvunjika mfupa unaoshikana na uti wa mgongo wakati wa mechi yao na Colombia usiku wa kuamkia leo. Neymar akitolewa nje ya uwanja wakati wa Robo Fainali dhidi ya Colombia. Staa huyo mwenye mabao manne mpaka sasa kwenye michuano hiyo, alitolewa uwanjani dakika tatu kabla ya mechi yao dhidi ya Colombia kumalizika.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil

>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

Neymar pigo kwa Brazil

Fortaleza, Brazil. Mshambuliaji tegemeo wa Brazil, Neymar hatacheza tena Kombe la Dunia baada ya kuvunjika mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo wakati waliposhinda 2-1 dhidi ya Colombia.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia

>From 32, it’s down to the last 16. Here there are no second chances. It is win or bust.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil

Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Mechi Brazil, Argentina yasubiriwa kwa hamu

>Mechi inayosubiriwa kwa hamu zaidi na mashabiki wa soka hapa ni Brazil na Argentina kama zitafanikiwa kutinga fainali za Kombe la Dunia katika pambano litakachezwa Julai 13  kwenye Uwanja wa Maracana.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Neymar, Oscar waipamba Brazil mechi ya ufunguzi

Mabao mawili ya Neymar na moja la Oscar yametosha kuwapa wenyeji wa Kombe la Dunia, Brazil ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Croatia, katika mchezo wa kufungua wa mashindano hayo jana.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ishu ya posho yamalizwa, Cameroon yaenda Brazil

Kikosi hicho, ambacho pia kinamjumuisha mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto’o, kiligoma kuondoka nchini humo juzi kutokana na tatizo la posho zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani