Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOMA AFRICA BAND YAFUNIKA INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÃœBINGEN 2015

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band maaruka kama FFU-Ughaibuni au viumbe wa ajabu Anunnaki Alien's inayoongozwa na kamanda Ras Makunja,bendi hiyo yenye makao yake kule ujuerumani ,juzi iliuhakikishia ulimwengu tena kuwa mziki wao ni moto wa kuotea mbali! bendi hiyo ilifanikiwa kwa mara nyingine kuyafunika maonyesho ya kimataifa ya International African Festival-Tübingen 2015,yaliofanyika katika viwanja vya Fest Platz,jijini Tübingen,Ujerumani.
Bendi hiyo ilipanda...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ngoma Africa Band To Rock 6th International African Festival Tubingen, Germany 2015

The popular Ngoma Africa band will be among many acts expected to thrill fans at the 5th International African Festival in Tübingen, Germany. The extravanganza will take place from July 23-26,2015

Ngoma Africa, based in Germany, founded 1993 by bandleader Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja, is home to a number of talented musicians, including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B.

Others are Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Sarah Simbosh, Jessicha Ouyah, Groly Mundeke,...

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND TO ROCK 5th INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TUBINGEN,GERMANY 2014

The popular Ngoma Africa band will be among many acts expected to thrill fans at the 5th International African Festival in Tübingen, Germany. The extravanganza will take place from July 17-20.Ngoma Africa, based in Germany, founded 1993 by bandleader Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja, is home to a number of talented musicians, including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B. Others are Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Flora William, Jessicha Ouyah, Groly Mundeke, Gailo...

 

10 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA INTERN.AFRICAN FESTIVAL TUBINGEN ,JUMAMOSI 25 JULAI 2015

 Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani,inatarajiwa kutingisha jukwaa lamaonyesho makubwa ya muziki na utamaduni barani ulaya 6th International African Festival in Tübingen, Ujerumani,bendi hiyo maarufu inayoongozwa na Kamanda Ras Makunja  itapanda jukwaani siku ya Jumamosi 27 Julai 2015 majira saa 2.00 Usiku katikauwanja wa Festplatz,Europa str,mjini Tübingen ,uliopo Ujerumani ya Kusini. Kikosi kazi hiko cha Ngoma...

 

11 years ago

Michuzi

INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÃœBINGEN,GERMANY: Thursday 17th to Sunday 20th July 2014 - 4days nonstop

 With more than 20,000 visitors and exhibitors from the 4 corners of Africa and the world, Tübingen International African Festival is the largest Cultural and Business Rendez-vous in southern Germany, bringing people together irrespective of their countries of origin, religious background, gender and status
 Menu 2014’s Edition  CULTURE & TOURISM – BUSINESS SYMPOSIUM – AMBASSADORS CONFERENCE & PROJECTS African market for Souvenirs, handcraft & decoration – African fresh and spicy...

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL-UJERUMANI JUMAMOSI 5 SEPT 2015

 Ngoma Africa band Ngoma Africa Band aka FFU katika gwaride jukwaani nchini Latvia
KWA P[ICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Vijimambo

LEO JUMAMOSI 5 SEPT 2015 NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL-UJERUMANI

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni ukipenda waiite viumbe wa ajabu Anunnaki Alien's yenye makao kule Ujerumani inatarajiwa kutingisha jukwaa katika maonyesho ya Vechelde Festival nchini Ujerumani Jumamosi 5. September 2015 saa 2:00 Usiku katika eneo la :Bürgerzentrum Vechelde liliopo mtaa Hildesheimer Straße 5 mjini Vechelde jirani mji wa Braunschweig,Ujerumani.Bendi hiyo maarufu Ngoma Africa yenye sifa za kuwatia kiwewe washabiki wa...

 

10 years ago

Michuzi

MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili 5 Julai 2015 alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. Watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria...

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND KUTINGISHA MAMLING FESTIVAL- AUSTRIA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria wanameisubiria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani