NGOMA AFRICA BAND KUTINGISHA MAMLING FESTIVAL- AUSTRIA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria wanameisubiria...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria
10 years ago
Michuzi
NGOMA AFRICA BAND WAFUNGA KAZI MAMLING FESTIVAL,AUSTRIA

10 years ago
GPL
NGOMA AFRICA BAND KUKINUKISHA AUSTRIA JULAI 5, 2015
10 years ago
Michuzi
NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL, UJERUMANI, LEO

10 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND YAFUNIKA INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÜBINGEN 2015
Bendi hiyo ilipanda...
10 years ago
Michuzi
NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA VECHELDE FESTIVAL-UJERUMANI JUMAMOSI 5 SEPT 2015

KWA P[ICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Vijimambo
Ngoma Africa Band To Rock 6th International African Festival Tubingen, Germany 2015

Ngoma Africa, based in Germany, founded 1993 by bandleader Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja, is home to a number of talented musicians, including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B.
Others are Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Sarah Simbosh, Jessicha Ouyah, Groly Mundeke,...
10 years ago
Vijimambo
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI WAFUNGA KAZI VECHELDE FESTIVAL,UJERUMANI

