NHIF Singida wajikita katika elimu ya CHF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Singida umeanzisha mkakati maalumu wa utoaji elimu kwa wananchi wote juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
NHIF yaendelea na kampeni ya kuhamasisha wananchi kujiunga na CHF katika kijiji cha Chumo Kilwa
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akikabidhi mashuka kumi kwa Khatib Said mwenyekiti wa kijiji cha Chumo Wilayani Kilwa mkoani Lindi yaliyotolewa na mfuko huo kwa ajili ya zahanati ya kijiji hicho wakati wa mwendelezo wa kampeni ya uhamasishaji wananchi kujiunga na huduma ya Afya ya Jamii CHF inayotolewa na NHIF, Ambapo wananchi mbalimbali walipima afya kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kujiunga na huduma hiyo kwenye uwanja wa shule...
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
DC Igunga ajivunia mapato ya CHF, NHIF
Waziri wa afya na ustawi wa jamii,Dk.Seif Rashidi akifungua kongamano la tisa la baadhi ya waandishi wa habari lililoandaliwa na kufadhiliwa na mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) lililofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Dodoma hotel mjini Dodoma.Dk.Rashidi aliwataka wanahabari kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kujiunga na mifuko ya afya,ili waweze kuwa na uhakika wakati wote hata kama hawana fedha.
Na Nathaniel Limu, Dodoma
HALMASHAURI ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, imekusanya zaidi ya...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
NHIF kuendesha kampeni jamii kujiunga CHF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kuendesha kampeni ya siku 60 nchini kuhamasisha jamii kujiunga na huduma za mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/Tika). Kampeni hiyo ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c5ckI_Cq4ug/VT_Boe6bb6I/AAAAAAAAr4E/eBmTk8oC5VU/s72-c/MMGL0254.jpg)
NHIF YAENDELEA KUWAHAMASISHA WANANCHI WA KILWA KUJIUNGA NA CHF
![](http://1.bp.blogspot.com/-c5ckI_Cq4ug/VT_Boe6bb6I/AAAAAAAAr4E/eBmTk8oC5VU/s1600/MMGL0254.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EouZHrDIhtU/VT_FxOA06VI/AAAAAAAAr5g/8XGQNXyEZCU/s1600/MMGL0239.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu aitaka NHIF kuongeza bidii katika kutoa elimu ya Afya kwa Jamii
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi14 Feb
NHIF, MSD sasa wajadili mikopo ya dawa kwa CHF