NHIF, MSD sasa wajadili mikopo ya dawa kwa CHF
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeanza mazungumzo na Bohari Kuu ya Dawa (MSD),ili bodi hiyo iwakopeshe dawa watoa huduma za afya katika Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 May
NHIF yaonywa mikopo ya dawa kwa watoa huduma
SERIKALI imeuonya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuwa makini na mpango inaotaka kuuanza katika mwaka ujao wa fedha wa kutoa mikopo ya dawa kwa watoa huduma wote waliosajiliwa.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
MSD sasa kufungua maduka ya dawa mitaani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s72-c/CHF3.jpg)
NHIF Yawapongeza Viongozi wa Dini kwa kuhamasisha kaya kujiunga na CHF
![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s1600/CHF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-09MEIXiS9wI/VDjVPyNIdrI/AAAAAAAGpHI/2BBiyqpBgAw/s1600/CHF2.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Oct
Madeni, mwamko mdogo kwa CHF kunakosesha dawa
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Muhapa amesema tatizo la kukosekana kwa dawa katika zahanati na vituo vya afya inachangiwa na ukubwa wa deni na mwamko mdogo wa wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) .
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
9 years ago
Mwananchi04 Dec
MSD isimamie kwa dhati maduka ya dawa
10 years ago
Habarileo21 Aug
Waziri aagiza fedha za CHF zipelekwe MSD
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid ameviagiza vituo vyote vya huduma za afya nchini kuwasilisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD) asilimia 50 ya fedha zote zinazokusanywa kwenye Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) pamoja na zile za “Papo kwa Papo”.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD
BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI