Madeni, mwamko mdogo kwa CHF kunakosesha dawa
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Steven Muhapa amesema tatizo la kukosekana kwa dawa katika zahanati na vituo vya afya inachangiwa na ukubwa wa deni na mwamko mdogo wa wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV31 Dec
Mwamko wa wazawa katika utalii wadaiwa kuwa mdogo.
Na Zephania Renatus,
Kilimanjaro.
Mwamko kwa wazawa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini unadaiwa kuwa mdogo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uelewa wa umuhimu wa kutembelea vivutio hivyo.
Mkoa wa Kilimanjro umekuwa na bahati ya pekee ya kuwepo kwa mlima mrefu kupita yote barani Afrika Mlima Kilimanjaro.
Mlima huo ndiyo umebeba jina la mkoa huo.
Uwepo wa mlima huu uliosimama pekee wenye urefu wa mita 5895 kutoka usawa wa bahari umekuwa kichocheo kikubwa cha watalii...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
NHIF, MSD sasa wajadili mikopo ya dawa kwa CHF
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wanachama wa CHF Iramba wakosa dawa
Pichani ni majengo ya kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba yanayokabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa kwa wanachama wake wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF)katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Oktoba hadi disemba,mwaka jana (Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
LICHA ya Wilaya ya Iramba,Mkoani Singida kutajwa kuongoza nchini kwa kuwa na wanachama wengi wa Mfuko wa Afya ya Jamii Nchini (CHF) baada ya zaidi ya asilimia 60 ya kaya zake...
9 years ago
Bongo515 Oct
Mcheza kikapu na mume wa zamani wa mdogo wake Kim Kardashian yupo hoi na hajitambui kwa kuzidisha dawa za kulevya
10 years ago
Bongo514 Dec
Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?
9 years ago
StarTV27 Nov
Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu wachangia ongezeko la vifo
Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu kwa baadhi ya mafamasia na watu wa sekta ya afya umetajwa kuwa miongoni mwa sababu za ongezeko la vifo vya watu kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya dawa hizo.
Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la dawa zisizokidhi vigezo ambazo zinahatarisha maisha ya Watanzania walio wengi.
Malalamiko ya wananchi dhidi ya sekta ya afya kwa madai ya uwepo wa dawa nyingi feki ndiyo sababu ya mkutano huu wa wafamasia jijini Mwanza.
Dhamira ya mkutano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9L7nU0qkQW0/XlX-pvBFHNI/AAAAAAALfd4/Qd0dCe8uPG4Opd6o7YLwLeAAoSEoQS9mwCLcBGAsYHQ/s72-c/38fd253c-bc76-4487-88e4-328b0978cd93.jpg)
WANANCHI KIGOMA WAMEKUWA NA MWAMKO MKUBWA KUTOA TAARIFA ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WAKATI MADAWATI YA JINSIA YA POLISI
WANANCHI wa Mkoa wa Kigoma wamekuwa na mwamko wa kutoa taarifa kwa wakati kwenye madawati ya jinsia ya polisi juu ya matukio mbalimbali ya ukatili wa kijinsia na watoto yanayowatokea.
Akisoma taarifa kwa kwa balozi wa umoja wa ulaya Manfredo Fanti,Mkuu wa dawati la jinsia ofisi za Kigoma mjini Inspeta Doris alisema kuwa kutokana na elimu ambayo wameitoa kuhusu ukatili wa jinsia na watoto pamoja na umuhimu wa kutoa taarifa kwa wakati mara wanaposhuhudia tukio...
9 years ago
MichuziNSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s72-c/CHF3.jpg)
NHIF Yawapongeza Viongozi wa Dini kwa kuhamasisha kaya kujiunga na CHF
![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s1600/CHF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-09MEIXiS9wI/VDjVPyNIdrI/AAAAAAAGpHI/2BBiyqpBgAw/s1600/CHF2.jpg)